Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Vitabu vya mafanikio

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

‎Vitabu 3 Vilivyomtoa Huyu Kwenye Umaskini Kabisa Mpaka Kuwa Milionea

‎Bro! ‎Yani kuna kipindi alikuwa hana hata buku ya vocha. ‎Hana biashara. ‎Hana network. ‎Hana tumaini. ‎Alikuwa anapambana na maisha bila silaha. ‎Mtaa unamjua kama yule jamaa wa "bado tu". ‎Lakini sasa hivi? ‎Anaeza kukodi ndege. ‎Na anadai, vitabu vitatu tu ndiyo vilimtoa huko alikokuwa. ‎ ‎Watu wengi wako hoi. ‎Kazi ni kutafuta hela. ‎Hela yenyewe haikai. ‎Kila siku ni mipango, lakini hakuna kinachotoka. ‎ ‎Na tatizo kubwa ni hili: ‎Hawajui wanachokosa ni maarifa. ‎ ‎Unasikia mtu anasema: ‎"Hela ipo, mimi sina tu connection." ‎Au ‎"Sisi huku hatujapangiwa kuwa matajiri." ‎Aisee, hiyo ni uongo. ‎ ‎ ‎Kama hujui kutengeneza hela. ‎Na hujui kuitunza. ‎Halafu bado unaidai dunia ikutendee haki? ‎ ‎Kuna mtu mmoja alisema: ‎ ‎"Ukiwa maskini na bado hujifunzi, unajitakia." ‎ ‎Inaumiza lakini ni ukweli. ‎Maisha hayaoni huruma. ‎Ni ya wale wanaojua. ‎ ‎Wanaojifunza. ‎Wanaojichukua serious. ‎ ‎ ‎Sasa wengine wanasoma vitabu vingi, ‎Lakini maisha yao ni y...

‎Faida 7 Za Kipekee Za Kusoma VITABU Kila Siku Hata Kama Ni DAKIKA 10 TU!

Picha
 ‎ ‎Kakaa/Dadaa Yangu... ‎ ‎Watu wengi wanalalamika hawafanikiwi. ‎ ‎Wanajitahidi sana lakini hakuna hatua zozote wanazopiga. ‎ ‎Wengine kila siku wako online lakini akili zao ziko offline. ‎ ‎Kila mtu anatafuta "shortcut ya mafanikio", lakini wanakosa kitu kimoja cha msingi... ‎ ‎Kusoma vitabu. ‎ ‎Ndiyo, hata kama ni dakika 10 tu kwa siku, inaweza kubadilisha kila kitu. ‎ ‎Hebu fikiria… ‎ ‎Miaka mitano ijayo, utakuwa mtu yule yule tu, isipokuwa tu kwa vitu viwili: ‎ ‎Vitabu ulivyosoma, na watu ulioambatana nao. ‎ ‎Sasa kama kila siku unasoma status, memes na story za watu… ‎ ‎Lakini huwezi kusoma hata ukurasa mmoja wa kitabu, unajidhulumu mwenyewe. ‎ ‎Mafanikio hayaji kwa kuomba omba—yanakuja kwa maarifa. ‎ ‎Na maarifa yapo vitabuni. ‎ ‎Ukikwepa kusoma leo, utajikuta unakumbana na matatizo yale yale kesho. ‎ ‎Kuna watu wanasema, “Mimi siwezi kusoma vitabu.” ‎ ‎“Nachoka haraka.” ‎ ‎"Usomaji sio vitu vyangu." ‎ ‎Wanajikosea sana. ‎ ‎Hakuna mtu yeyote aliyezaliwa akij...