Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya ‎uvivu wa kusoma

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Njia 5 Za Kujichaji Unapohisi Uvivu Wa Kusoma....

‎Hii ni hadithi ya Juma... ‎ ‎Juma anaanza kwa kusimulia... ‎ ‎Jina langu ni Juma. ‎Nilikuwa nimeweka malengo ya kusoma kitabu kimoja kila mwezi. ‎ ‎Siku ya kwanza nilianza kwa nguvu. ‎Siku ya pili nikasoma robo tu. ‎Siku ya tatu nikalala nalo mkononi. ‎ ‎Siku ya nne nikaanza kusema: ‎ ‎“Nitaendelea kesho…” ‎ ‎Hadi nikajikuta sijasoma kitu kwa wiki nzima. ‎Na moyo wangu ukaanza kujichukia kimya kimya. ‎ ‎Siku moja, nilikumbana na post ya WhatsApp: ‎ ‎“Uvivu wa kusoma ni sauti ya ndani inayokuambia, ‘Hujui kwa nini unasoma.’ ‎Gundua sababu, kisha jichaji kwa njia hizi 5.” ‎ ‎Iliniuma. Ilinigusa. Iliniwasha. ‎Nikaamua kuchukua hatua. ‎ ‎Lakini sauti ya ndani ikaniambia: ‎ ‎“Huna muda.” ‎“Umechoka.” ‎“Hata ukisoma, haitabadilisha maisha yako.” ‎ ‎Kwa muda mfupi nilitaka kuamini hizo sauti. ‎Lakini nikajiuliza swali moja: ‎ ‎“Kama kutokusoma kunanifanya nijisikie duni kwa nini nisiache uvivu huo?” ‎ ‎Nilijiunga kwenye group la WhatsApp la mafunzo ya kila siku. ‎Nikapiga simu kwa namba: 📞 ...