Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Hero's Journey

Ukweli Wa Kushangaza: Mara Ya Pili Nilipokisoma… Ndipo Nilipokisoma Kwa Mara Ya Kwanza.....

‎Je, unapaswa kusoma kitabu mara moja au mara nyingi?  ‎ ‎Hadithi hii itakupa jibu la moyo.... ‎ ‎Nilikuwa na orodha ndefu ya vitabu. ‎ ‎Niliamini mafanikio yangu yanategemea idadi ya vitabu nilivyomaliza. ‎ ‎Nikawa najisifu: “Nimesoma vitabu 12 mwaka huu!” ‎ ‎Lakini cha kushangaza, sikumbuki hata sura ya kwanza ya vitabu vitano. ‎ ‎Nilikuwa msomaji mwenye kasi, lakini si mwenye mabadiliko. ‎ ‎Siku moja nikakutana na nukuu: ‎ ‎Don’t just read more books. ‎ ‎ Reread the right ones. ‎ ‎Nukuu hiyo ilinichoma kama sindano ya kweli. ‎ ‎Nikajiuliza: “Ina maana nasoma sana lakini bado nipo palepale?” ‎ ‎Nilijitetea: ‎“Mbona kusoma kitabu mara moja tu inatosha?  ‎ ‎Sina muda wa kurudia! Kuna vitabu vingapi bado sijavifungua? ‎ ‎Niliona kurudia kitabu kama kurudia darasa uliokwisha kufaulu. ‎ ‎Lakini ndani kabisa, nilihisi kuna kitu kinakosekana. ‎ ‎Nikamkuta mjasiriamali mmoja aliyenukuliwa kwenye podcast: ‎.Mimi husoma vitabu vichache lakini kila mwaka narudia vitabu vitatu muhimu. ‎...

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...