Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya vitabu bora vya fedha

‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi Wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu? ...

 ‎ Hii hapa safari ya kugusa moyo wako. ‎ ‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu?.... ‎ ‎Nilikuwa nimehitimu shule. ‎ ‎Nikiwa na cheti mkononi na ndoto kubwa kichwani. ‎ ‎Lakini maisha yakaniambia: “Karibu kwenye darasa halisi.” ‎ ‎Sikupata kazi niliyoitegemea. ‎ ‎Nikawa najiuliza: "Kwani elimu yangu haikutosha?" ‎ ‎Nilikuwa nimefundishwa mambo ya darasani lakini si maisha. ‎ ‎Siku moja nikakutana na nukuu: ‎ ‎“Don’t let school interfere with your education.” — Mark Twain ‎ ‎Nikaanza kujiuliza: ‎ ‎"Je, kuna elimu nyingine zaidi ya vyeti? Elimu ya maisha?" ‎ ‎Nikapuuzia. ‎ ‎Nikajua vitabu vya darasani tu ndivyo vya maana. ‎ ‎Niliona vitabu vingine kama vya watu walioshindwa. ‎ ‎Mbona havifundishwi shuleni? ‎ ‎Mbona havijasheheni nadharia na mitihani? ‎ ‎Mtu mmoja akanishika begani na kuniambia: ‎ ‎"Unapokoma kuwa mwanafunzi, ndipo unapokoma kukua." ‎ ‎Akanipa kitabu cha “Rich Dad Poor Dad.” ‎ ‎Akaniongeza na kingine:  ‎ ‎“The 7 Habits of ...

🔥 Alikuwa Maskini Lakini Leo Ana Milioni... Siri Ni Vitabu 10 Tu! 🔥 ‎

Picha
Wakati rafiki zake walikuwa wakitafuta njia za mkato kupata hela, ‎Yona alikuwa na swali moja tu kichwani: ‎ ‎ "Mbona mimi nafanya kazi sana, lakini bado siwezi kuvuka elfu hamsini?" ‎ ‎ ‎Alikuwa na familia ya kuiangalia. ‎Madeni kibao. ‎Ndoto kubwa, lakini mfuko mdogo. ‎ ‎Siku moja, kwenye soko la mitumba, akakuta kijitabu kidogo kimechakaa. Kimeandikwa: ‎“Think and Grow Rich – Fikiri Upate Utajiri” ‎Alikinunua kwa Tshs 25,000 tu, akakisoma kila usiku akiwa kwenye kibanda chake cha bati. ‎ ‎Kila ukurasa ulimfungua macho. Aligundua: ‎ ‎Siri za kuwashawishi wateja bila kuonekana kero ‎ ‎Njia rahisi ya kugeuza talanta kuwa chanzo cha pesa, ‎ ‎Mbinu ya kuanzisha biashara bila hata shilingi! ‎ ‎Akasoma kingine… ‎Na kingine… ‎Mpaka akajenga tabia mpya ya kusoma kitabu kimoja kila wiki. ‎ ‎Aliamua kufanya utafiti na akagundua kuna vitabu 10 ambavyo vilibadilisha maisha ya matajiri wengi duniani, na sasa vinambadilisha yeye pia: ‎ ‎📚 Vitabu 10 Vilivyomtoa Yona Kwenye Umaskini: ‎ ‎1...