Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya jinsi ya kuanza kusoma vitabu mbinu za kupenda kusoma hupendi kusoma vitabu faida za kusoma vitabu njia rahisi za kusoma kusoma vitabu bila kuchoka

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

‎Hupendi Kusoma Vitabu? Hizi Njia 5 Zitakubadilisha Bila Kujua!.... ‎

 ‎Hebu niambie kaka/dada… ‎Ukitaja vitabu unahisi usingizi unakukamata? ‎ ‎Unajikuta unasema, ‎“Aaah mi si mtu wa vitabu bana, sina muda wala mood!” ‎ ‎Sawa. ‎Lakini je… umewahi kujiuliza, ‎Hii tabia ya kukwepa vitabu inakuumiza wapi? ‎ ‎Leo, nitaongea na moyo wako. ‎Sio kwa kukuhukumu. ‎Bali kwa kukupa mwanga wa kubadili maisha… bila stress. ‎ ‎Tatizo si wewe. ‎Tatizo ni mfumo ulivyokufundisha kusoma kama adhabu. ‎ ‎Ulipokuwa shule, ‎uliambiwa usome ili ufaulu mitihani. ‎Sio ili ufanikiwe kwenye maisha. ‎ ‎Hakuna aliyekuambia, ‎*Soma ili ujue namna ya kujiongezea kipato.* ‎*Soma ili ujue kujitetea kisheria.* ‎*Soma ili usilaghaiwe.* ‎ ‎Ndio maana sasa huoni maana ya kusoma. ‎Unahisi ni mambo ya watoto wa chuo tu. ‎ ‎Lakini ukweli ni huu: ‎Watu wote waliofanikiwa wanapata maarifa kupitia vitabu. ‎ ‎Ukitaka kujifunza siri ya pesa ipo kwenye kitabu. ‎Ukitaka kubadilisha mindset ipo kwenye kitabu. ‎Ukitaka kujua mbinu za biashara – ipo kwenye kitabu. ‎ ‎Na wewe bado unasema: ‎“Siwezi ...