Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya kitabu bora kwa wanafunzi

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

‎Kitabu Bora Kwa Mwanafunzi, Mjasiriamali Na Mfanyakazi– Usipite Bila KUKISOMA! ‎

‎ ‎Kakaa/Dadaa Yangu... ‎ ‎Kuna tatizo kubwa sana. ‎Watu wanahangaika mchana kutwa. ‎Wanachoka. ‎Wanakatishwa tamaa. ‎Wanakazana ila pesa hazitoshi. ‎ ‎Unasoma hadi usingizi unakukataa, lakini bado maisha hayaeleweki. ‎Unafanya biashara, lakini kila siku unaishia na mia tano. ‎ ‎Umeajiriwa ,mshahara unamalizika kabla mwezi haujaanza. ‎ ‎Tatizo sio wewe. ‎Sio akili zako. ‎Tatizo ni kwamba… haujasoma kitabu hiki. ‎ ‎Kitabu kinaitwa "Nguvu Ya Buku" ‎Ni mwongozo mkali. ‎Umejaa mbinu. ‎Umejaa akili. ‎Umejaa moto. ‎ ‎Hebu jiulize… ‎Umeamka saa 11 alfajiri. ‎Umeenda kazini. ‎Umerudi jioni umechoka. ‎Kesho, unaamka tena… bila hata buku mfukoni. ‎ ‎Umewahi kujiuliza, hii ni maisha au ni kifungo? ‎Umewahi kujiangalia na kusema, “Naishi kweli?” ‎ ‎Huna amani. ‎Huna furaha. ‎Kila siku unajua lazima ukopeshane hadi mishahara. ‎ ‎Au utembee na deni la M-Pesa kama vile ni bangili. ‎ ‎Ni wakati wa kubadilika. ‎Na huwezi kubadilika bila maarifa. ‎Na maarifa hayaji tu, yananunuliwa. ‎ ‎Watu we...