Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Wateja Bila Kuomba Kuvutia Wateja Mbinu Za Mauzo Siri Za Wauzaji Kupendwa Na Wateja Hadithi Za Mauzo Uza Bila Kuomba Sumaku Ya Wateja Mauzo Bila Kero Mteja Anakupenda

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

‎Mbinu 3 Rahisi Zitakazokusaidia Na Kufanya Wateja Wakupende Bila Kujipendekeza…

 ‎ ‎Kakaa/Dadaa.... ‎ ‎Unajua shida kubwa ya wauzaji wengi ni nini? ‎ ‎Wanahangaika kuwafanya wateja wawapende… ‎ ‎Wanawafuata wateja kila kona… ‎ ‎Wanaomba omba mapenzi kama wahitaji… ‎ ‎Lakini bado… ‎Wateja hawawaoni! ‎Wateja hawawakumbuki! ‎Wateja hawasikii hata huruma! ‎ ‎Mbaya zaidi, kuna jamaa mwingine hajawahi hata kujitambulisha sana… ‎ ‎Lakini kila mteja anamuita, anamfuata, anamwamini! ‎ ‎Unajiuliza… *Kwa nini sio mimi?* ‎Kwa nini mimi ndo napigwa chenga kila siku? ‎ ‎Ngoja nikuambie kitu cha ukweli… ‎Wateja hawapendi mtu anayeomba sana. ‎ ‎Wanapenda mtu anayewaonyesha thamani… kimya kimya. ‎ ‎Na ndo maana leo nakupa hizi mbinu 3. ‎Mbinu za mtaa. ‎ ‎Rahisi sana… lakini zenye uzito wa almasi. ‎ ‎MBINU #1: Usijiuze, Jionyeshe ‎ ‎Acha kulalamika eti watu hawakunotisi… ‎Wewe jionyeshe tu kwa vitendo. ‎ ‎Jibu comment zao. ‎Watumie ujumbe unaosaidia bila kutegemea chochote. ‎Toa msaada mdogo mdogo kwenye status zako. ‎ ‎Wacha maneno mengi. ‎Tenda. ‎Waonyeshe kuwa upo… bila kuom...