Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya #MtaalamuMtandaoni #MatokeoYanaongea #JinsiYaKujitambulisha #MarketingKimya #Copywriting #OnlineBusiness #Kujitangaza #BusinessTips

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Jinsi Ya Kujitambulisha Kama Mtaalamu Mtandaoni Bila Kuonekana Kama Unajigamba.

 ‎ ‎‎Kakaa/Dadaa... ‎ ‎Unajua shida ni nini? ‎Watu wanajituma sana mtandaoni. ‎Wanapiga picha za ofisini. ‎Wanaandika "DM me for business". ‎Wengine mpaka wanajiita Expert. ‎ ‎Lakini bado… hakuna anaowauliza kitu. ‎Hakuna anawachukulia serious. ‎ ‎Unapiga kelele, lakini hakuna anayesikia. ‎ ‎Inauma, eeh? ‎Unatoa elimu bure. ‎Unajituma kila siku. ‎Lakini kila post yako inapata like nne. ‎Na zote ni kutoka kwa ndugu zako. ‎ ‎Watu hawakuoni kama mtaalamu. ‎Wanakuchukulia kawaida. ‎Na mbaya zaidi – unachoka. ‎Unaanza kujiuliza, "Labda hii sio njia yangu..." ‎ ‎Pole sana kaka/dada. ‎Tatizo sio wewe. ‎Tatizo ni mfumo wako wa kujitangaza. ‎ ‎Kuna kitu watu wengi hawajui. ‎Kujitambulisha kama mtaalamu sio kusema "Mimi ni mtaalamu." ‎Wala sio kuweka picha na caption ndefu ya kujisifu. ‎ ‎Hiyo ni sauti ya kelele. ‎Na watu wa mtandaoni wanachoka kelele. ‎Wanataka kitu kinachogusa. ‎Kinachofaa. ‎Kinachosaidia. ‎ ‎Ukijitangaza vibaya watu wanakuchoka kabla hata hawajak...