Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Kumbukumbu ya Kusoma Mbinu za Kusoma Jinsi ya Kumbuka Vitabu Elimu ya Vitabu Nguvu ya Kusoma Tips za Kujifunza Usomaji Bora Ramadhan Amir Mkufunzi Kumbukumbu ya Haraka Kusoma Bila Kusahau

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Mbinu 7 Za Kukumbuka Unachosoma Katika Vitabu Bila KUSAHAU TENA... ‎

Picha
  ‎ ‎Ukipitia hii, kumbukumbu zako zitakuwa kama za kasuku aliyefundishwa kuimba chorus ya Diamond... ‎ ‎Kakaa/Dadaa Yangu... ‎ ‎Unasoma kitabu leo… ‎ ‎Kesho haukumbuki hata ukurasa wa kwanza. ‎ ‎Ukiulizwa ulichojifunza, unazubaa kama umepigwa na butwaa. ‎ ‎Unajikuta unasoma tu ilimradi umalize, si kwa sababu unaelewa au utakumbuka. ‎ ‎Yani unatumia muda wako kusoma… ‎ ‎Unaweka akiba ya maneno kichwani… ‎ ‎Halafu akili inafuta kila kitu kama flash drive yenye virus! ‎ ‎Unasoma vitabu vingi, ila akili haina ushahidi wowote. ‎ ‎Inapoteza kumbukumbu kama ex wako aliyesahau yote mliyowahi kupitia. ‎ ‎Lakini mbona kuna wengine wakisoma, wanakumbuka hadi mistari ya mwisho? ‎ ‎Hii ndo pointi ya kukasirikia! ‎ ‎Sio kwamba Huna Akili. ‎ ‎Sio kwamba huna uwezo. ‎ ‎Ni mbinu tu unazotumia ndizo za kizamani. ‎ ‎Zile za kukariri bila kuelewa, au kusoma harakaharaka kama unakimbizana na deadline ya NECTA. ‎ ‎Zisahau. Hapa nakuletea...