Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya mafanikio ya vijana

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Kitabu Bora Kwa Mwanafunzi, Mjasiriamali Na Mfanyakazi– Usipite Bila KUKISOMA! ‎

‎ ‎Kakaa/Dadaa Yangu... ‎ ‎Kuna tatizo kubwa sana. ‎Watu wanahangaika mchana kutwa. ‎Wanachoka. ‎Wanakatishwa tamaa. ‎Wanakazana ila pesa hazitoshi. ‎ ‎Unasoma hadi usingizi unakukataa, lakini bado maisha hayaeleweki. ‎Unafanya biashara, lakini kila siku unaishia na mia tano. ‎ ‎Umeajiriwa ,mshahara unamalizika kabla mwezi haujaanza. ‎ ‎Tatizo sio wewe. ‎Sio akili zako. ‎Tatizo ni kwamba… haujasoma kitabu hiki. ‎ ‎Kitabu kinaitwa "Nguvu Ya Buku" ‎Ni mwongozo mkali. ‎Umejaa mbinu. ‎Umejaa akili. ‎Umejaa moto. ‎ ‎Hebu jiulize… ‎Umeamka saa 11 alfajiri. ‎Umeenda kazini. ‎Umerudi jioni umechoka. ‎Kesho, unaamka tena… bila hata buku mfukoni. ‎ ‎Umewahi kujiuliza, hii ni maisha au ni kifungo? ‎Umewahi kujiangalia na kusema, “Naishi kweli?” ‎ ‎Huna amani. ‎Huna furaha. ‎Kila siku unajua lazima ukopeshane hadi mishahara. ‎ ‎Au utembee na deni la M-Pesa kama vile ni bangili. ‎ ‎Ni wakati wa kubadilika. ‎Na huwezi kubadilika bila maarifa. ‎Na maarifa hayaji tu, yananunuliwa. ‎ ‎Watu we...