Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Copywriting vs Content Copywriting ni nini Content ni nini Uandishi unaouza Mauzo kwa maneno Copy kwa biashara Tofauti za uandishi Maneno ya kuuza Uandishi wa matangazo

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Hii Ndiyo Tofauti Ya COPYWRITING Na Content WRITING Wanaokuficha! 💥

‎ ‎Unajua nini? ‎Watu wengi wanajifanya waandishi, ‎Lakini wanachanganya Copywriting na Content Writing kama maji na mafuta! ‎ ‎Ni kama kuchanganya kuchoma chipsi na kufua nguo… ‎Vyote ni kazi, lakini si sawa hata kidogo! ‎ ‎Leo nakufungua macho. ‎Utaelewa tofauti kubwa sana kati ya Copywriting na Content Writing. ‎Ukimaliza kusoma hii makala, utajua ni ipi inalipa, ipi ni sanaa ya kuuza, ‎na ipi inaweza kukutoa kapa kama huitumii vizuri. ‎ ‎Fikiria upo na laptop yako, ‎Unaandika sentensi chache tu… ‎Baada ya dakika chache, mtu anakutumia pesa. ‎ ‎Copy zako zinauza bidhaa. ‎Waandishi wakubwa wa Copywriting wanalipwa hadi MILIONI kwa barua moja tu! ‎Wanaandika post moja, inauza bidhaa elfu moja. ‎ ‎Sasa waza tena… ‎Unatumia muda mwingi kuandika content, ‎Una likes, una comments, lakini hakuna mtu anayebonyeza "nunua sasa". ‎Ni kama kupiga kelele kwenye jangwa. ‎ ‎Hebu muangalie Joseph Sugarman, mmoja wa magwiji wa Copywriting. ‎Alikuwa akiandika matangazo ya kurasa 2, ‎na watu...