Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Ndoto za Mafanikio

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Akili Kwanza Consultants - Ndoto Mpya Inayochipua Kutoka Nguvu Ya Vitabu

Picha
Muda si mrefu uliopita , nilianzisha blogu hii kwa jina “Nguvu Ya Vitabu” kwa lengo moja kuu: Kugusa akili za watu kupitia maarifa ya vitabu. Nilitamani kuona vijana, wafanyabiashara, na watu wa kawaida wakigundua hazina iliyofichwa ndani ya kurasa za maarifa. Lakini sasa… Ndani yangu inaanza kuchipua ndoto mpya, ndoto ya kupeleka maarifa haya mbali zaidi. Ndiyo maana leo natangaza rasmi kuanzishwa kwa mpango mpya uitwao: Akili Kwanza Consultants Kwa Nini Jina Hili? Nimechagua jina hili kwa sababu lina ujumbe mzito: Akili Kwanza – linaweka wazi kuwa hakuna maendeleo, mafanikio, au mabadiliko bila kuanza na mabadiliko ya fikra. Consultants – linaashiria kwamba tunakwenda mbali zaidi ya kutoa tu maarifa. Tunataka kusaidia watu kubadili maisha yao kupitia ushauri, mwelekeo, na mbinu za vitendo. Akili Kwanza Consultants Itasimamia Nini? Taasisi hii itajikita katika: Ushauri wa kimaendeleo (maisha, biashara, na maarifa) Ushauri kwa vijana na wanaoan...

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

Picha
  ‎Mpendwa Rafiki, ‎ ‎Tatizo ni moja tu: Unataka kufanikiwa. ‎ ‎ Unataka kujenga biashara.  ‎ ‎Unataka kuvutia wateja bila kuwa kero. ‎ ‎ Unataka maisha bora, lakini hujui uanzie wapi. ‎ ‎Unasikia watu wanatoka mbali kimaisha kwa kutumia maarifa, lakini wewe kila ukijaribu hakuna kinachotiki. ‎ ‎Na najua kabisa… si kwamba huna akili. ‎ ‎ Si kwamba huna bidii. La hasha! ‎ ‎Tatizo ni moja: haujapewa ramani. ‎ ‎ Haujapewa mfumo.  ‎ ‎Haujajifunza maarifa sahihi. ‎ ‎Kuna jambo linakuumiza kimya kimya… ‎ ‎Watu unaowaona wanaendelea wengi wao sio wa ajabu sana. ‎ ‎Wana siri moja tu: maarifa ya ndani. ‎ ‎Maarifa ya vitabuni.  ‎ ‎Maarifa ambayo hayafundishwi mashuleni. ‎ ‎Wanaelewa “mbinu za kuuza”, wanaijua “copywriting”, wanaelewa “psychology ya mteja”, ‎ ‎...na wanajua jinsi ya kuanzisha biashara bila mtaji mkubwa. ‎ ‎Wewe pia unaweza kujifunza. ‎ ‎Wewe pia unaweza kugeuza akili yako kuwa hela. ‎ ‎Lakini lazima ukubali ukweli mmoja: ‎ mafanikio hayaji kwa kubahatisha. ‎ ‎ ...