Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya kupata kazi haraka

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Jinsi Vitabu Vinavyoweza Kukufungulia Milango Ya Ajira...

 Rafiki Yangu, Ally alikuwa kijana aliyetokea familia ya kawaida, aliyemaliza chuo miaka miwili iliyopita. ‎ ‎Alikuwa na cheti kizuri, lakini ajira hakuna. ‎ ‎Alituma maombi mengi ya Kazi Lakini hakuna aliyopata. ‎ ‎Akajua ajira ni kwa “wenye koneksheni.” tu! ‎ ‎Hayo ndiyo yalikuwa maisha yake, ‎ ‎Kila siku alikuwa akiamka asubuhi na kwenda kufanya kazi za vibarua na kulipwa 3,000. ‎ ‎Siku moja akiwa kwenye kibanda cha chipsi, alisikia kijana mmoja akimwambia mwenzake: ‎ ‎“Sikupata kazi kwa kuomba nilipata kwa kutumia kitabu.” ‎ ‎Ally aligeuka kwa mshituko! ‎ ‎Na kuuliza, ‎ ‎“Kitabu? Kazi? Vina uhusiano gani?” ‎ ‎Yule kijana akamwonyesha status ya WhatsApp Status yake. ‎ ‎“Kila ukurasa wa kitabu ni hatua moja kuelekea ajira yako. Usome au usomeke.” ‎ ‎Ally alitabasamu: ‎ ‎“Mi bana, siwezi kusoma! Nikisoma nasinzia. ‎ ‎Lakini kauli ile haikumtoka kichwani. ‎ ‎Usiku huo huo, moyo wake ulisema naye: ‎ ‎“Vipi kama hicho ndicho kitu kimoja ambacho umekuwa ukikikwepa, lakini ndicho kinac...