Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Sentensi ya Kwanza

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Jinsi Ya Kugusa Hisia Za Msomaji Kwa Sentensi Ya Kwanza....

Picha
  Kakaa/Dadaa Yangu.... ‎ ‎Kuna waandishi kibao mitandaoni. ‎ ‎Wanaandika vizuri. ‎ ‎Lakini makala zao hazisomwi. ‎ ‎Unajua kwanini? ‎ ‎Sentensi ya kwanza haina mvuto! ‎ ‎Haimgusi msomaji popote. ‎ ‎Yaani ni kama unamwambia, "Usisome hii makala." ‎ ‎Hebu fikiria... ‎ ‎Umechukua muda kuandika. ‎ ‎Umetafakari kichwa cha habari. ‎ ‎Umetafuta picha kali. ‎ ‎Lakini msomaji anaishia tu hapo mwanzo. ‎ ‎Hajui kilicho ndani. ‎ ‎Hasogei kabisa. ‎ ‎Unabaki unaumia kimoyomoyo. ‎ ‎“Mbona hawasomi makala zangu?” ‎ ‎Ni kama kupika pilau halafu mtu anakataa hata kuonja. ‎ ‎Wengi hufikiria kuwa sentensi ya kwanza inapaswa kuwa ya kitaalamu sana. ‎ ‎Au iwe na maneno ya Kiswahili kigumu. ‎ ‎Au iwe ndefu kama maelezo ya mtihani wa Form Four. ‎ ‎HAPANA! ‎ ‎Sentensi ya kwanza inapaswa kuwa na kitu kimoja tu HISIA. ‎ ‎Ipasue moyo. ‎ ‎Iguse akili. ‎ ‎Ichokoze curiosity. ‎ ‎Ikamate macho. ‎ ‎Na iseme, “Usiende popote.” ‎ ‎Ukitaka kuandika sentensi ya kwanza inayogusa hisia: ‎ ‎Gusa maumivu. ‎ ‎Gusa n...