Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya jinsikusomavitabu kunavyoongezakipato

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎🧠😱 *Ukweli Mchafu: Huna Pesa Kwa Sababu Husomi!*😳📚

‎Rafiki Yangu, ‎ ‎💔 Unajua kwanini hela inakupiga chenga kila mwezi? ‎Si kwa sababu hufanyi kazi. ‎Wala si kwa sababu huna bahati. ‎ ‎👉🏾 Ni kwa sababu ubongo wako bado upo njaa ya maarifa. ‎Na chanzo kikuu cha maarifa ni kimoja tu: VITABU. ‎ ‎📌 Sikiliza kaka/dada… ‎Watu matajiri huwa hawasomi tu kwa starehe. ‎Wanatafuta kitu kinachowapa nguvu mpya ya kutengeneza pesa. ‎Na mara nyingi, wanakipata kwenye kurasa za vitabu. ‎ ‎⚠️ Sasa hapa ndipo wengi wanaharibikiwa... ‎Unapofikiria kitabu ni *kitu cha shule* tu. ‎Au unasema: ‎ ‎*Mimi siwezi kusoma, sina muda.* ‎*Mbona kuna watu matajiri hawajasoma?* ‎ ‎😤 Stop hiyo mindset ya hasara! ‎ ‎🧠 Soma vitabu sahihi vitabu vya maarifa, fedha, biashara, tabia za mafanikio. ‎Halafu utashangaa unapata idea moja tu… ‎Na idea hiyo inakulipia kodi ya mwaka mzima. ‎Wengine hadi milioni yao ya kwanza walitoka kwenye mstari mmoja wa kitabu! ‎ ‎🔥 Sasa Suluhisho Ndio Hili Hapa: ‎Tumeandaa kitabu kinachobadilisha ubongo kuwa mashine ya pesa. ‎Kinaitwa: ...