Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya kusoma vitabu kupenda kusoma mbinu za kusoma njia rahisi kusoma kusoma bila kuboreka kusoma na mafanikio vitabu vya mafanikio kuanza kusoma

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

Hupendi Kusoma Vitabu? Hii Ndiyo Njia Rahisi Ya Kuanza Kusoma Na Kufanikiwa Maishani!

Jinsi Ya Kuanza Kusoma Vitabu Hata Kama Hupendi Kusoma. ‎ ‎Rafiki Yangu Mpendwa, ‎ ‎Kuna Jamaa mmoja aliwahi kuniambia kitu kilichonifanya nisahau hata njaa. ‎Akasema: ‎ ‎Mimi sihitaji kusoma vitabu. Si vipo YouTube na TikTok? ‎ ‎Mwaka mmoja baadaye... ‎Simu yake haikuwa na kifurushi. ‎ ‎Alichoka kuomba miamala ya 200 kwa mama wa kiosk. ‎Na maisha yake yalikuwa pale pale. ‎Mwishowe akanitext: ‎ ‎Bwana, tafadhali nipe jina la kile kitabu ulichonitumia. Naona sasa nahitaji kusoma… ‎ ‎Katika makala hii, utakutana na njia rahisi kabisa ya kuanza kusoma vitabu hata kama huwa hupendi kabisa kusoma. ‎ ‎Sitakuambia usome kurasa 100 kwa siku, hapana. ‎Nitakufundisha njia ya kuanza polepole, kwa ustadi, bila kuumiza kichwa. ‎ ‎Na zaidi ya yote, nitakueleza kwanini watu waliokuwa kama wewe sasa ni mamilionea. ‎ ‎Hebu vuta picha hii: ‎Unaamka asubuhi ukiwa na hamasa ya maisha. ‎Umejaa maarifa. ‎Umejua jinsi ya kutengeneza pesa. ‎Unajua kuzungumza vizuri mbele ya watu. ‎ ‎Unapendwa na watu kwa saba...