Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Kusoma na Kufanikiwa

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

‎Utata Wa ELON MUSK: Ana Mamilioni, Lakini Alianza na Kusoma Vitabu Tu?!

Kakaa/Dadaa Yangu...  ‎ ‎Watu wanataka pesa. Mafanikio. Kujulikana. ‎Lakini hawataki kusoma hata ukurasa mmoja. ‎Hawajui siri iko kwenye kurasa. ‎ ‎Wanauliza: ‎*Mbona mimi nastruggle, na sijafika popote?* ‎“Mbona Elon Musk kafika mbali hivyo?” ‎ ‎Sawa. Ngoja nikupee KISA! ‎ ‎Elon Musk sio tu tajiri. ‎Ni mjanja. ‎Ni balaa. ‎Ni jamaa ambaye alisoma hadi vitabu vilianza kumjua kwa jina! ‎ ‎Halafu leo wewe unaniambia, ‎“Hivi kweli kusoma kuna msaada?” ‎Heh! Tulia… ‎ ‎Unajua nini kinaumiza zaidi? ‎Watu wengi wanajua jina lake. ‎Lakini hawajui historia yake. ‎Hawajui alitumia miaka ya utoto wake kusoma vitabu vya science, fiction, na biographies. ‎ ‎Yes, jamaa alikula vitabu kama vitafunwa vya Asubuhi. ‎Siku moja, aliweza kumaliza kusoma kitabu kimoja kwa Siku. ‎ ‎Unaweza wewe? ‎Ama macho yako ni TikTok tu? 😅 ‎ ‎Wacha nikupe ukweli mchungu: ‎Ukipuuza kusoma, usitegemee miujiza. ‎Huwezi kuwa billionaire kwa kutegemea motivation quotes. ‎Unahitaji knowledge ya ukweli. ‎ ‎Na Musk alijua hi...