Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Maendeleo Binafsi

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

Utajiri Unaanza Na Dakika 15 Tu Kila Siku Na Hakuna Atakayekuanbia HILI!

‎‎Aliwahi kuwa maskini sana. Hakuwahi kumaliza hata kitabu kimoja maishani mwake. ‎ ‎Lakini siku moja, alijilazimisha kusoma dakika 15 tu kabla ya kulala. ‎Mwaka mmoja baadaye, alikuwa na biashara tatu, kipato cha kila siku, na uhuru aliokuwa akiuota. ‎ ‎Ni ajabu eeh? ‎Ndiyo. ‎Lakini si uchawi. Ni nguvu ya maarifa madogo kila siku. ‎ ‎Katika makala hii, nitakuonyesha jinsi dakika 15 tu za kusoma kila siku zinavyoweza kukutoa kwenye maisha ya kukopa hadi maisha ya kutajirika. ‎Nitakufundisha: ‎ ‎Nini cha kusoma ‎ ‎Jinsi ya kuanza ‎ ‎Na kwanini dakika 15 ni zaidi ya kutosha. ‎ ‎Fikiria maisha yako baada ya miezi 6: ‎Unaongea kwa ujasiri. ‎Unajua wapi pa kuwekeza. ‎Una wazo la biashara. ‎Unajua kutunza fedha zako. ‎Unajiamini zaidi. ‎Watu wanaanza kukuona tofauti. ‎Kila siku unakaribia mafanikio. ‎Na yote yalianza na kurasa chache tu kila jioni. ‎ ‎ ‎Watu maarufu kama Warren Buffett, Elon Musk, na Oprah Winfrey wamesema wazi “kusoma kila siku ndicho kilichowatengeneza.” ‎ ‎Buffett husoma ...

‎ ‎Kwa Nini Watu Maskini Hawapendi Kusoma Vitabu

Picha
 ‎ ‎Kaka/Dada, Huu Ni Ukweli Unaoumiza Lakini Utakusaidia. ‎ ‎Maskini wengi hawapendi kusoma vitabu. ‎ ‎Umeshawahi kujiuliza kwa nini? ‎ ‎Yaani mtu anaishi maisha magumu… ‎ ‎Lakini ukimpatia kitabu cha bure chenye maarifa ya kutoka hapo alipo anakudharau. ‎ ‎Akiwa online, anaweza kucheka video 20 za utani… ‎ ‎Lakini video moja tu ya mafanikio, ya dakika mbili ataisema: ‎ ‎“Hayo mambo ya matajiri.” ‎ ‎Hapo ndipo utagundua: ‎ ‎Umaskini hauanzi mfukoni… unaanzia kichwani. ‎ ‎Tatizo Halipo Tu Kwenye Pesa ‎ ‎Watu wengi waliokata tamaa si kwamba hawana pesa... ‎ ‎Ni kwamba hawana maarifa. ‎ ‎Wanajua mpira, wanajua drama za mastaa, wanajua nani kapigana na nani... ‎ ‎Lakini hawajui jinsi ya kuongea vizuri ili wapewe kazi. ‎ ‎Hawajui njia rahisi ya kuweka akiba kidogo kila wiki. ‎ ‎Hawajui hata kusoma CV yao vizuri. ‎ ‎Sababu? ‎ ‎Hawajawahi kupewa nafasi ya kuamini kuwa vitabu vinaweza kuwasaidia. ‎ ‎Kuna Uongo Umekaa Kama Ukweli ‎ ‎ “Mimi si mtu wa vitabu.” ‎ ‎ “Mimi shule ilinichosha.” ‎...