Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Soma Vitabu Ufanikiwe Kifedha Siri Ya Mafanikio Ya Matajiri Wengi Umeiwahi Kujua Leo!

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Unataka Mafanikio? Acha Kuitafuta Siri Kwenye YouTube Ipo Ndani ya Vitabu!

Hapo nyuma, ‎ ‎Nilikuwa kijana wa kawaida, nikilala chini, huku nikiamka kila siku kwenda kwenye kazi yenye mshahara mdogo kazi ya kuhesabu saa, si mafanikio. ‎ ‎Hali ya kifedha haikuwa nzuri, bili ziliniandama, na ndoto zangu zilikuwa zimejaa vumbi. ‎ ‎Siku moja, nikiwa nimechoka sana, nilikuta kitabu cha zamani kwenye kibanda cha magazeti “The Richest Man in Babylon.” ‎ ‎Mzee aliyekuwa akiuza gazeti akaniambia, “Hiki kitabu, kimenisaidia sana chukua usome.” Nilitabasamu kwa kejeli. ‎ ‎Kitabu? Kitaniokolea nini? ‎ ‎Nilikichukua lakini sikukisoma. Nilihisi kama ni kupoteza muda. Kwani vitabu vinaweza kuleta hela? Wiki zikipita, niliona maisha yangu yanazidi kuwa yale yale. Nilianza kujiuliza, “Je, kuna kitu ninakikosa?” ‎ ‎Siku moja nikakutana na jamaa mmoja aliyewahi kuwa masikini kama mimi. ‎ ‎Alikuwa na biashara tatu, gari kali na alikuwa anatoa mafunzo. ‎ ‎Aliniambia maneno yaliyonichoma rohoni: ‎ ‎ “Ramadhani, mafanikio ni sawa na jiko yanahitaji kuni. Na kuni ...