Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya kusoma vitabu kila siku

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Utajiri Unaanza Na Dakika 15 Tu Kila Siku Na Hakuna Atakayekuanbia HILI!

‎‎Aliwahi kuwa maskini sana. Hakuwahi kumaliza hata kitabu kimoja maishani mwake. ‎ ‎Lakini siku moja, alijilazimisha kusoma dakika 15 tu kabla ya kulala. ‎Mwaka mmoja baadaye, alikuwa na biashara tatu, kipato cha kila siku, na uhuru aliokuwa akiuota. ‎ ‎Ni ajabu eeh? ‎Ndiyo. ‎Lakini si uchawi. Ni nguvu ya maarifa madogo kila siku. ‎ ‎Katika makala hii, nitakuonyesha jinsi dakika 15 tu za kusoma kila siku zinavyoweza kukutoa kwenye maisha ya kukopa hadi maisha ya kutajirika. ‎Nitakufundisha: ‎ ‎Nini cha kusoma ‎ ‎Jinsi ya kuanza ‎ ‎Na kwanini dakika 15 ni zaidi ya kutosha. ‎ ‎Fikiria maisha yako baada ya miezi 6: ‎Unaongea kwa ujasiri. ‎Unajua wapi pa kuwekeza. ‎Una wazo la biashara. ‎Unajua kutunza fedha zako. ‎Unajiamini zaidi. ‎Watu wanaanza kukuona tofauti. ‎Kila siku unakaribia mafanikio. ‎Na yote yalianza na kurasa chache tu kila jioni. ‎ ‎ ‎Watu maarufu kama Warren Buffett, Elon Musk, na Oprah Winfrey wamesema wazi “kusoma kila siku ndicho kilichowatengeneza.” ‎ ‎Buffett husoma ...