Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Mafanikio ya KifedhaThink and Grow Rich Kiswahili Siri za UtajiriMaendeleo ya MaishaFikra za Matajiri Kitabu cha Mafanikio

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Tafsiri Kwa Lugha Rahisi Ya Kitabu Cha THINK AND GROW RICH.

  ‎Tafsiri Kwa Lugha Rahisi Ya Kitabu Cha THINK AND GROW RICH. ‎ ‎Usisome Kama Hutaki Kujua Siri Ya Matajiri. ‎ ‎Kakaa/Dadaa Yangu.... ‎ ‎Kuna watu wamefanya kazi miaka 20… lakini bado wako pale pale. ‎Kuna watu wameenda shule, wana vyeti kibao… lakini maisha yao ni ya kusukuma siku tu. ‎ ‎Unaona kabisa mtu ana akili, ana bidii… lakini hana kitu. ‎Kwanini? ‎ ‎Kwa sababu akili peke yake haitoshi. ‎Bidii bila mwelekeo ni kama kukimbia gizani. ‎Na ndicho kitabu Think and Grow Rich kinakuambia… lakini kwa lugha ya maprofesa. ‎ ‎Leo nakuletea tafsiri ya mtaani. ‎Lugha rahisi. ‎Ile ya kueleweka hadi na mama ntilie. ‎ ‎ ‎Umewahi kujisikia kuchoka hata kabla hujaamka? ‎Ushawahi kujikuta unawaza, “Kama pesa ni mbaya, mbona sina hata kidogo?” ‎Unapigwa na stress kila mwisho wa mwezi. ‎ ‎Mshahara ukiingia, unatoka kabla haujafika kwenye simu. ‎ ‎Halafu unakutana na post ya mtu anasema: ‎ ‎“Niliwahi kusoma kitabu cha Think and Grow Rich, maisha yangu yakabadilika.”...