Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Jinsi ya Kuzima Pingamizi 5 Kuu za Wateja | Mauzo Bila Vizingiti | Ziba Objections Mapema na Funga Dili Haraka | Copywriting ya Ushindi

‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi Wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu? ...

 ‎ Hii hapa safari ya kugusa moyo wako. ‎ ‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu?.... ‎ ‎Nilikuwa nimehitimu shule. ‎ ‎Nikiwa na cheti mkononi na ndoto kubwa kichwani. ‎ ‎Lakini maisha yakaniambia: “Karibu kwenye darasa halisi.” ‎ ‎Sikupata kazi niliyoitegemea. ‎ ‎Nikawa najiuliza: "Kwani elimu yangu haikutosha?" ‎ ‎Nilikuwa nimefundishwa mambo ya darasani lakini si maisha. ‎ ‎Siku moja nikakutana na nukuu: ‎ ‎“Don’t let school interfere with your education.” — Mark Twain ‎ ‎Nikaanza kujiuliza: ‎ ‎"Je, kuna elimu nyingine zaidi ya vyeti? Elimu ya maisha?" ‎ ‎Nikapuuzia. ‎ ‎Nikajua vitabu vya darasani tu ndivyo vya maana. ‎ ‎Niliona vitabu vingine kama vya watu walioshindwa. ‎ ‎Mbona havifundishwi shuleni? ‎ ‎Mbona havijasheheni nadharia na mitihani? ‎ ‎Mtu mmoja akanishika begani na kuniambia: ‎ ‎"Unapokoma kuwa mwanafunzi, ndipo unapokoma kukua." ‎ ‎Akanipa kitabu cha “Rich Dad Poor Dad.” ‎ ‎Akaniongeza na kingine:  ‎ ‎“The 7 Habits of ...

‎🔴 Wateja Wana Sababu 5 Tu Za Kukataa Kununua....

‎Na Kama Huzizimi Mapema, Utauza Ndoto Zako Tu! ‎ ‎Wewe ni muuzaji, MJASIRIAMALI au mfanyabiashara? ‎Huu ndio mfumo wa kukusaidia kuwauzia hata wateja wagumu kuliko wote. ‎ ‎Kumbuka, kazi yako si kuuza tu ni kuzima visingizio kabla havijaota meno. ‎Unahangaika na wateja. ‎Unawashawishi kwa nguvu. ‎Wanakuambia, "Ngoja nifikirie." ‎Au, "Nitaludi baadaye." ‎Na hakuna kinacholudi. ‎ ‎Tatizo si bei yako. ‎Tatizo si bidhaa yako. ‎Tatizo ni pingamizi ambazo hukuzizima mapema. ‎ ‎"Sina pesa sasa hivi." ‎ ‎"Nimewahi kununua kitu kama hiki, hakikufanya kazi." ‎ ‎"Nitamuuliza mke/mume wangu kwanza." ‎ ‎"Ngoja nifikirie kwanza." ‎ ‎"Si muda mzuri kwangu kwa sasa." ‎ ‎ ‎Hizo ni objections tano kuu. ‎Na kila objection ni bomba la kuzuia hela zako zishuke mfukoni. ‎ ‎Ukikaa kimya, imekula kwako. ‎Ukijitetea vibaya, wanakosa imani. ‎Ukizizima mapema... unashinda mapema. ‎ ‎Wauzaji wa kawaida hukimbia objections. ‎Wauzaji waliobobea ...