Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Copywriting Kuandika Copy Maswali ya Mauzo Hisia Katika Copy Storytelling Uuzaji kwa Maneno Copy Inayogusa Mbinu za Copy Copy Kiswahili Ramadhan Amir

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Maswali Ya Kujiuliza Kabla Hujaandika Copy Yoyote....

Picha
  ‎ ‎Kakaa/Dadaa Yangu... ‎ ‎Unashika kalamu au keyboard. ‎Unataka kuandika copy kali ya kuuza. ‎Lakini… unaandika tu. ‎ ‎Bila kujiuliza lolote. ‎Unatumia nguvu nyingi. ‎Lakini matokeo ni zero. ‎ ‎Sasa ngoja nikuambie kitu: ‎Copy yoyote, kabla hujaandika, kuna maswali lazima ujiulize. ‎ ‎Hii ndiyo siri ya copy inayoingia hadi kwenye damu ya mteja. ‎ ‎Kabla hujaandika neno la kwanza, jipe sekunde tano. ‎ ‎Jiulize: ‎“Huyu mtu nampa hii copy, anateseka na nini hasa?” ‎Kama hujui hilo… usiandike hata "Hello". ‎ ‎ ‎Watu hawasikii hadi waumie. ‎Ukiongelea tu faida, hawaguswi. ‎Lakini ukigusa kidonda… ‎ ‎Ukikumbusha vile alivyosota jana... ‎Vile alivyotapeliwa kwa kununua kitu kisichofanya kazi... ‎Ndipo anainama asome hadi mwisho. ‎ ‎Copy nzuri haiko huko kuleta faraja tu. ‎Inafungua vidonda. ‎Inawasha moto. ‎Kisha ndiyo inakuja na dawa. ‎ ‎Wengi wanaamini kitu kimoja: ‎“Copy nzuri ni ile yenye maneno mengi, ya kizungu mingi, au ya kibiashara s...