Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Hadithi ya kweli ya kushinda msongo wa mawazo kupitia kusoma vitabu vya maarifa.

‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi Wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu? ...

 ‎ Hii hapa safari ya kugusa moyo wako. ‎ ‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu?.... ‎ ‎Nilikuwa nimehitimu shule. ‎ ‎Nikiwa na cheti mkononi na ndoto kubwa kichwani. ‎ ‎Lakini maisha yakaniambia: “Karibu kwenye darasa halisi.” ‎ ‎Sikupata kazi niliyoitegemea. ‎ ‎Nikawa najiuliza: "Kwani elimu yangu haikutosha?" ‎ ‎Nilikuwa nimefundishwa mambo ya darasani lakini si maisha. ‎ ‎Siku moja nikakutana na nukuu: ‎ ‎“Don’t let school interfere with your education.” — Mark Twain ‎ ‎Nikaanza kujiuliza: ‎ ‎"Je, kuna elimu nyingine zaidi ya vyeti? Elimu ya maisha?" ‎ ‎Nikapuuzia. ‎ ‎Nikajua vitabu vya darasani tu ndivyo vya maana. ‎ ‎Niliona vitabu vingine kama vya watu walioshindwa. ‎ ‎Mbona havifundishwi shuleni? ‎ ‎Mbona havijasheheni nadharia na mitihani? ‎ ‎Mtu mmoja akanishika begani na kuniambia: ‎ ‎"Unapokoma kuwa mwanafunzi, ndipo unapokoma kukua." ‎ ‎Akanipa kitabu cha “Rich Dad Poor Dad.” ‎ ‎Akaniongeza na kingine:  ‎ ‎“The 7 Habits of ...

Je, Vitabu Vinaweza Kuondoa Msongo wa Mawazo?....

 ‎Rafiki Yangu, ‎Bado namkumbuka.... ‎ ‎Alikuwa Hana Kitu. Sio Hela. Sio Mtaji. Sio Tumaini. ‎Jina lake ni Salma. Msichana wa kawaida kabisa kutoka familia ya kipato cha chini maeneo ya Mbagala.  ‎ ‎Baada ya kumaliza chuo kwa tabu, alipambana kutafuta kazi kwa miaka miwili bila mafanikio.  ‎ ‎Polepole, akaanza kupoteza matumaini. ‎Kila siku aliamka akiwa na hofu, akilala na mawazo. Alianza kujitenga na watu, hakupokea simu, na hata chakula kilimchosha.  ‎ ‎Msongo wa mawazo ukaanza kula akili yake taratibu. ‎ ‎Kila Kitu Kilibadilika Siku Aliyoangukia kwenye Kitabu. ‎Siku moja akiwa kwenye daladala, alimsikia mama mmoja akimsimulia rafiki yake kuhusu kitabu kinachoitwa Nguvu Ya Vitabu.  ‎ ‎Salma alijikuta akipata hamu ya kukisoma. Ingawa hakuwa na pesa, aliamua kuuza hereni zake ili kukinunua. ‎ ‎Kurasa za kwanza tu, zilianza kumbembeleza polepole kutoka kwenye giza la mawazo.  ‎ ‎Alianza kujifunza jinsi akili ya binadamu inavyoweza kubadilika kupitia maarifa...