Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya vitabu vya kujenga maisha bora.

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Vitabu 3 Vilivyomtoa Huyu Kwenye Umaskini Kabisa Mpaka Kuwa Milionea

‎Bro! ‎Yani kuna kipindi alikuwa hana hata buku ya vocha. ‎Hana biashara. ‎Hana network. ‎Hana tumaini. ‎Alikuwa anapambana na maisha bila silaha. ‎Mtaa unamjua kama yule jamaa wa "bado tu". ‎Lakini sasa hivi? ‎Anaeza kukodi ndege. ‎Na anadai, vitabu vitatu tu ndiyo vilimtoa huko alikokuwa. ‎ ‎Watu wengi wako hoi. ‎Kazi ni kutafuta hela. ‎Hela yenyewe haikai. ‎Kila siku ni mipango, lakini hakuna kinachotoka. ‎ ‎Na tatizo kubwa ni hili: ‎Hawajui wanachokosa ni maarifa. ‎ ‎Unasikia mtu anasema: ‎"Hela ipo, mimi sina tu connection." ‎Au ‎"Sisi huku hatujapangiwa kuwa matajiri." ‎Aisee, hiyo ni uongo. ‎ ‎ ‎Kama hujui kutengeneza hela. ‎Na hujui kuitunza. ‎Halafu bado unaidai dunia ikutendee haki? ‎ ‎Kuna mtu mmoja alisema: ‎ ‎"Ukiwa maskini na bado hujifunzi, unajitakia." ‎ ‎Inaumiza lakini ni ukweli. ‎Maisha hayaoni huruma. ‎Ni ya wale wanaojua. ‎ ‎Wanaojifunza. ‎Wanaojichukua serious. ‎ ‎ ‎Sasa wengine wanasoma vitabu vingi, ‎Lakini maisha yao ni y...