Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Soma Smart Muda Huo Huo Vitabu Bila Presha Usome Uelewe Dakika 10 Tu Soma Kama Mjanja Maarifa Sio Ukurasa Chukua Dhahabu Funua Ukurasa Soma Kwa Njaa

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

Kwanini Wengi Hawamalizi VITABU? Na Suluhisho Rahisi Kabisa La Kulishinda Hilo!

Picha
‎Kakaa/Dadaa... ‎ ‎Watu wengi wananunua vitabu kwa hamasa kubwa. ‎ ‎Wanapiga picha na kuweka Instagram. ‎ ‎Na kuandika "nimekivuta hiki!” ‎ ‎Lakini baada ya kurasa tano... wameishia hapo. ‎ ‎Wiki mbili baadaye, kitabu kiko kabatini, kinakusanya vumbi. ‎ ‎Wewe mwenyewe umewahi kuanza kusoma kitabu ukakimaliza kweli? ‎ ‎Usijidai. Tuseme ukweli. ‎ ‎Na kama umewahi, je ni vitabu vingapi? ‎ ‎Watu hawamalizi vitabu.  ‎ ‎Wengi Sana. ‎ ‎Hata wale wanaojifanya "book lovers" mitandaoni. ‎ ‎Unajua shida ni nini.... ‎ ‎Unakosa maarifa muhimu. ‎ ‎Unajinyima fursa ya kubadilika. ‎ ‎Uko pale pale kimaisha. ‎ ‎Wenzako wanaendelea, wanachukua hatua kwa sababu wamesoma na wakatekeleza. ‎ ‎Wewe bado uko kwenye ukurasa wa 7, unajishawishi, “nitamalizia weekend.” ‎ ‎Weekend ikifika?  ‎ ‎Unapiga mfululizo wa series 8 kwa siku moja. ‎ ‎Na bado unaendelea kujifariji na kusema huna muda wa kusoma! ‎ ‎Sasa ngoja nikutobolee siri… ‎ ‎Tatizo si wewe. ‎ ‎Tatizo si kwamba huna nidhamu. ‎ ‎Tatizo si ...