Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Soma Smart Muda Huo Huo Vitabu Bila Presha Usome Uelewe Dakika 10 Tu Soma Kama Mjanja Maarifa Sio Ukurasa Chukua Dhahabu Funua Ukurasa Soma Kwa Njaa

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Kwanini Wengi Hawamalizi VITABU? Na Suluhisho Rahisi Kabisa La Kulishinda Hilo!

Picha
‎Kakaa/Dadaa... ‎ ‎Watu wengi wananunua vitabu kwa hamasa kubwa. ‎ ‎Wanapiga picha na kuweka Instagram. ‎ ‎Na kuandika "nimekivuta hiki!” ‎ ‎Lakini baada ya kurasa tano... wameishia hapo. ‎ ‎Wiki mbili baadaye, kitabu kiko kabatini, kinakusanya vumbi. ‎ ‎Wewe mwenyewe umewahi kuanza kusoma kitabu ukakimaliza kweli? ‎ ‎Usijidai. Tuseme ukweli. ‎ ‎Na kama umewahi, je ni vitabu vingapi? ‎ ‎Watu hawamalizi vitabu.  ‎ ‎Wengi Sana. ‎ ‎Hata wale wanaojifanya "book lovers" mitandaoni. ‎ ‎Unajua shida ni nini.... ‎ ‎Unakosa maarifa muhimu. ‎ ‎Unajinyima fursa ya kubadilika. ‎ ‎Uko pale pale kimaisha. ‎ ‎Wenzako wanaendelea, wanachukua hatua kwa sababu wamesoma na wakatekeleza. ‎ ‎Wewe bado uko kwenye ukurasa wa 7, unajishawishi, “nitamalizia weekend.” ‎ ‎Weekend ikifika?  ‎ ‎Unapiga mfululizo wa series 8 kwa siku moja. ‎ ‎Na bado unaendelea kujifariji na kusema huna muda wa kusoma! ‎ ‎Sasa ngoja nikutobolee siri… ‎ ‎Tatizo si wewe. ‎ ‎Tatizo si kwamba huna nidhamu. ‎ ‎Tatizo si ...