Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya maarifa kuwa hela

‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi Wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu? ...

 ‎ Hii hapa safari ya kugusa moyo wako. ‎ ‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu?.... ‎ ‎Nilikuwa nimehitimu shule. ‎ ‎Nikiwa na cheti mkononi na ndoto kubwa kichwani. ‎ ‎Lakini maisha yakaniambia: “Karibu kwenye darasa halisi.” ‎ ‎Sikupata kazi niliyoitegemea. ‎ ‎Nikawa najiuliza: "Kwani elimu yangu haikutosha?" ‎ ‎Nilikuwa nimefundishwa mambo ya darasani lakini si maisha. ‎ ‎Siku moja nikakutana na nukuu: ‎ ‎“Don’t let school interfere with your education.” — Mark Twain ‎ ‎Nikaanza kujiuliza: ‎ ‎"Je, kuna elimu nyingine zaidi ya vyeti? Elimu ya maisha?" ‎ ‎Nikapuuzia. ‎ ‎Nikajua vitabu vya darasani tu ndivyo vya maana. ‎ ‎Niliona vitabu vingine kama vya watu walioshindwa. ‎ ‎Mbona havifundishwi shuleni? ‎ ‎Mbona havijasheheni nadharia na mitihani? ‎ ‎Mtu mmoja akanishika begani na kuniambia: ‎ ‎"Unapokoma kuwa mwanafunzi, ndipo unapokoma kukua." ‎ ‎Akanipa kitabu cha “Rich Dad Poor Dad.” ‎ ‎Akaniongeza na kingine:  ‎ ‎“The 7 Habits of ...

Hivi Umeshawahi Kukuta Mtu Anasoma Kitabu Alafu Anakula Pesa? 😳

  ‎Rafiki Yangu, ‎ ‎Watu wengi wanasoma vitabu. ‎ ‎Wanaandika mistari. ‎Wanaweka nukuu kwenye status. ‎Wanafanya kama wameelewa. ‎ ‎Lakini bado broke. 😥 ‎Bado wanahangaika. ‎Bado hawajui hela inaingiaje. ‎ ‎Kwa nini? ‎ ‎Kwa sababu hawajui kusoma kwa akili ya biashara. ‎Hawajui kuchuja hela kwenye kurasa. ‎Hawajui kugeuza maarifa kuwa mpunga. ‎ ‎Wanasoma kwa ajili ya kufurahia tu. ‎Sio kutengeneza thamani. ‎Sio kutatua matatizo ya watu. ‎ ‎Na ndio maana unaona: ‎ ‎Wamesoma sana... ‎Lakini bado wanaomba airtime. ‎Wanaomba lift ya kwenda kazini. ‎Wanapiga status za “Siku moja nitafanikiwa.” 😩 ‎ ‎Wamesoma vitabu vya Robert Kiyosaki, ‎Lakini mpaka leo hawajui difference ya asset na liability kwa vitendo. ‎Wamepitia Think and Grow Rich, ‎Lakini bado wanathink tu — hawagrow wala hawarichi! ‎ ‎Kibaya zaidi? ‎Wanasema: “Mimi ni msomi…” ‎Lakini hela yao ni ya kushika wiki mbili tu. ‎ ‎Kusoma vitabu ni kama kuchimba kisima. ‎ ‎Lakini kama huna ndoo ya kuchotea, ‎Kuna faida gani? ‎Unabaki na...