Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Copywriting kwa kiswahili

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Copywriting Ni Silaha Ya Siri Ya Wafanyabiashara Matajiri Wewe Unaijua?

Rafiki Yangu, ‎ ‎Umeshawahi kujiuliza kwanini bidhaa ya mtu mwingine inanunuliwa sana, ilhali yako haivutii hata mbu? ‎ ‎Wateja wanapita tu. Wanakudharau. ‎ ‎Lakini yule jamaa wa duka la pembeni, kila siku anaweka “sold out” kwenye bango. ‎ ‎Unadhani ni bahati? ‎Hapana ndugu yangu! ‎Anaijua sanaa moja ya kichawi… Copywriting! ‎ ‎Leo nitakuonyesha: ‎ ‎Copywriting ni nini, inavyofanya kazi kimyakimya kwenye akili za watu, na kwanini wewe kama mfanyabiashara, unahitaji kuimasta kabla biashara yako haijafa bila msiba. ‎ ‎3. PICTURE — (Fumba Macho, Tazama Maisha Yako Baada Ya Ujuzi Huu) ‎ ‎Hebu tafakari... ‎Unapost tu chapisho moja WhatsApp au Instagram… ‎Dakika tano tu, simu yako inaanza kulia. ‎Mpaka unachoka kupokea order. ‎Wateja wanakuomba kuwahudumia, siyo wewe kuwabembeleza! ‎ ‎Hii si hadithi ya kufikirika. Ni hali halisi ya wale waliobobea kwenye Copywriting. ‎ ‎Mwaka 2022, kuna kijana mmoja aliandika maneno 12 tu kwenye status ya WhatsApp… ‎Aliuza vitabu 267 ndani ya siku 1. ‎Hakuw...

‎Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection

Picha
Kaka/Dada.... ‎ ‎Unawaza kuanzisha ndoto yako, labda ni  biashara, brand, au huduma fulani, ‎ ‎Lakini kila mara unaambulia jibu moja tu: *Huna mtaji!*  Au mbaya zaidi,  ‎ ‎*Wewe nani atakusaidia bila connection?* ‎ ‎Aisee, hii ni changamoto kubwa sana kwa vijana wengi mtaani, hususani wale waliokuwa na ndoto kubwa lakini mifuko yao haina hata mia.  ‎ ‎Na nilikuwa mmoja wao. ‎ ‎Ni kama maisha yanakuchokoza.  ‎ ‎Una wazo zuri kichwani, lakini kila ukiamka asubuhi, unashtukia huna hela ya kula, deni linagonga, halafu mtu anakwambia,  ‎ ‎*Ndoto haziliwi.* ‎ ‎Unajikuta unaanza kuamini labda kweli ndoto ni kwa matajiri tu.  ‎ ‎Unaacha kujaribu, unaweka ndoto zako ndani ya kabati, unarudi kutafuta ajira zisizo na roho, mradi tu uishi. ‎ ‎Lakini moyoni… unajua kabisa una kitu cha kipekee.  ‎ ‎Kinachokuuma si kwamba huwezi ni kwamba hujui wapi pa kuanzia bila pesa wala watu wa kukuvuta juu. ‎ ‎Hapa ndipo wengi wanakosea. ‎ ‎ Wanadhani kuwa mtaji wa pesa nd...