Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya nguvu ya usomaji

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Nilikuwa Naogopa Kila Kitu… Mpaka Niliposoma Kitabu Kimoja Tu...

 Miaka ya nyuma, Mariam alikuwa binti mwenye ndoto kubwa, lakini mwenye sauti ndogo sana mbele ya watu. ‎ ‎Kila alipokuwa na wazo, moyo wake ulitetemeka kusema. ‎ ‎Kila alipohitaji kuongea mbele ya kundi, hata marafiki tu, alinyamaza. ‎ ‎Alikuwa anajilaumu kimya kimya: ‎“Mbona naona kila mtu ana ujasiri isipokuwa mimi?” ‎ ‎Siku moja, alihudhuria kikao cha wanawake wajasiriamali. ‎ ‎Mwanamke mmoja akasimama na kuongea kwa ujasiri wa kuvutia. ‎ ‎Baada ya mkutano, Mariam akamwendea kwa woga na kumuuliza: ‎ ‎"Ulikuwa na ujasiri mkubwa! Siri yako ni nini?" ‎ ‎Akamjibu kwa tabasamu: ‎“Nilianza kusoma vitabu. Si vitabu vya shule, bali vya maisha.” ‎ ‎Mariam alitabasamu tu na kusema kwa sauti ya chini: ‎"Mimi siwezi kuwa msomaji. Nikiwaza tu kurasa kumi, nashikwa na usingizi." ‎ ‎Lakini moyo wake haukutulia. ‎Usiku ule alitafakari: ‎"Kama kusoma vitabu kunabadilisha watu labda na mimi nitaweza." ‎ ‎Siku iliyofuata, alitumiwa link ya kujiunga na group la WhatsApp. ...