Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Faida za vitabu

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Faida 7 Za Kipekee Za Kusoma VITABU Kila Siku Hata Kama Ni DAKIKA 10 TU!

Picha
 ‎ ‎Kakaa/Dadaa Yangu... ‎ ‎Watu wengi wanalalamika hawafanikiwi. ‎ ‎Wanajitahidi sana lakini hakuna hatua zozote wanazopiga. ‎ ‎Wengine kila siku wako online lakini akili zao ziko offline. ‎ ‎Kila mtu anatafuta "shortcut ya mafanikio", lakini wanakosa kitu kimoja cha msingi... ‎ ‎Kusoma vitabu. ‎ ‎Ndiyo, hata kama ni dakika 10 tu kwa siku, inaweza kubadilisha kila kitu. ‎ ‎Hebu fikiria… ‎ ‎Miaka mitano ijayo, utakuwa mtu yule yule tu, isipokuwa tu kwa vitu viwili: ‎ ‎Vitabu ulivyosoma, na watu ulioambatana nao. ‎ ‎Sasa kama kila siku unasoma status, memes na story za watu… ‎ ‎Lakini huwezi kusoma hata ukurasa mmoja wa kitabu, unajidhulumu mwenyewe. ‎ ‎Mafanikio hayaji kwa kuomba omba—yanakuja kwa maarifa. ‎ ‎Na maarifa yapo vitabuni. ‎ ‎Ukikwepa kusoma leo, utajikuta unakumbana na matatizo yale yale kesho. ‎ ‎Kuna watu wanasema, “Mimi siwezi kusoma vitabu.” ‎ ‎“Nachoka haraka.” ‎ ‎"Usomaji sio vitu vyangu." ‎ ‎Wanajikosea sana. ‎ ‎Hakuna mtu yeyote aliyezaliwa akij...