Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Huna Muda wa Kusoma Vitabu? Siri ya Mafanikio Kutoka The 5 AM Club Robin Sharma

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Na Wewe Unasema Huna Muda Wa Kusoma Vitabu?

  ‎Hii Ndiyo Sababu Halisi na Jinsi The 5 AM Club Inavyoweza Kubadilisha Mchezo! 📚 ‎ ‎Mara nyingi najua watu wananijia na hoja hii: ‎Sijui kusoma, sina muda! ‎ ‎Hili ndilo tatizo kubwa linaloizuia jamii yetu kufanikisha malengo makubwa. ‎ ‎Sasa ngoja tuchambue kweli, je, ni kweli huna muda, au ni jinsi unavyotumia muda wako? ‎ ‎Muda ni sawa kwa kila mtu, saa 24 kwa siku. ‎Lakini wengi wetu tunaendesha maisha kama watu waliopotea kwenye mchezo wa kuendesha muda. ‎ ‎Tunatumia masaa 2-3 kila siku kwenye mitandao ya kijamii, TV, na mitoko bila tija. ‎Unafikiri huo ni muda wa kupoteza? ‎ ‎Ni fedha zako unazochoma kwa moto. ‎Kwa kweli, si muda wako hautoshi, ni ulivyomruka muda. ‎ ‎Huna muda wa kusoma kwa sababu haujatengeneza ratiba ya kuusimamia muda wako vizuri. ‎ ‎Fikiria, kila siku ukiacha kusoma, unachukua hatua moja kurudi nyuma kwenye maisha yako. ‎ ‎Mafanikio hayaji kwa bahati, yanakuja kwa mtu mwenye maarifa, mtaji wa akili. ‎ ‎Kil...