Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya #KwaNiniMaarifaHayatoshi #SiriZaMafanikio #VitendoZaidiYaMaarifa #MentorshipNiNguvu #HatuaSioHadithi #ElimuBilaMatokeo #MaarifaNaUtendaji #FursaZaKweli

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Watu Wanaofeli Sio Kwa Kukosa Elimu… Wanakosa Hiki Kitu Kimoja Muhimu!

‎ ‎Kakaa/ Dadaa. ‎ ‎Kuna watu wengi sana wana akili. Wanasoma sana. Wana degree, wengine hadi masters. ‎ ‎Vitabu wanakula kama ugali. Lakini cha ajabu... maisha yao bado hayajanyooka. ‎ ‎Kama ni hela – hawana. ‎Kama ni mafanikio – hawana. ‎Kama ni amani – hawana. ‎ ‎Wewe pia unawajua. Au labda wewe mwenyewe ndio huyo. Unajiuliza, “Inawezekanaje? Na maarifa yote haya?” ‎ ‎ ‎Unaamka mapema. Unasoma vitabu vya watu waliowafikia kilele. Unaangalia YouTube, unahudhuria semina. Unajaza daftari kwa pointi motomoto. ‎ ‎Lakini bado huna kazi nzuri. ‎Bado hujaanza biashara yako. ‎Bado unahisi maisha yanakusukuma tu. ‎ ‎Ni kama vile unaenda shule kila siku, lakini hakuna mtihani unaopita. ‎ ‎Unajua nini kinauma zaidi? ‎Kumuona mtu ambaye hajui hata nusu ya unayojua , lakini anakupita kila kona! ‎ ‎Ana biashara, ana connections, ana mpango. Wewe una theory. Yeye ana matokeo. ‎ ‎Inaumiza. ‎ ‎ ‎Maarifa ni muhimu. Usivichukie vitabu. Lakini… ‎Maarifa peke yake HAYATOSHI. ‎ ‎Kusoma bila kuchukua hat...