Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya maarifa ya pesa

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Unapuuza Silaha Inayoweza Kukutoa Kwenye Umasikini, Kila Siku Bila Kujua!...

Picha
 ‎ ‎Rafiki Yangu Mpendwa, ‎ ‎Wewe unateseka. ‎Kila siku unakimbizana kutafuta hela. ‎Lakini maisha yako bado ni yaleyale. ‎Unajua kwanini? ‎ ‎Kwa sababu unapuuza silaha moja rahisi sana: KITABU. ‎ ‎Ndiyo, kile kitu unachokiona kama vya wasomi pekee. ‎Kile unachosema “Mimi si mtu wa kusoma.” ‎Hicho ndicho kinachokuweka hapo ulipo. ‎ ‎Vitabu ni Siri ya Mafanikio. ‎Zimebeba akili za matajiri, wabunifu, na watu waliokwishapitia ulichonacho. ‎Lakini wewe unapita navyo kama takataka. ‎ ‎Hebu jiulize... ‎Kila siku unatumia masaa 4 kwenye TikTok, Insta, na kuangalia video za utani. ‎Lakini dakika 15 kusoma kitabu? ‎Huipati! ‎ ‎Halafu unataka utajiri... ‎Unataka biashara izae... ‎Unataka maisha ya mamilionea... ‎Lakini hutaki kujenga ubongo wa kimamilionea! ‎ ‎Huwezi kuwa tajiri kwa akili ya kupenda starehe na uvivu wa maarifa. ‎Wewe ndiye unajizuia mwenyewe! ‎ ‎Wengi wanasema, “Aaah vitabu havisaidii.” ‎Huo ni uongo uliopakiwa kwa ujinga. ‎ ‎Vitabu vimewabadilisha watu: ‎Waliokuwa maskini ...

‎Vitabu 3 Vilivyomtoa Huyu Kwenye Umaskini Kabisa Mpaka Kuwa Milionea

‎Bro! ‎Yani kuna kipindi alikuwa hana hata buku ya vocha. ‎Hana biashara. ‎Hana network. ‎Hana tumaini. ‎Alikuwa anapambana na maisha bila silaha. ‎Mtaa unamjua kama yule jamaa wa "bado tu". ‎Lakini sasa hivi? ‎Anaeza kukodi ndege. ‎Na anadai, vitabu vitatu tu ndiyo vilimtoa huko alikokuwa. ‎ ‎Watu wengi wako hoi. ‎Kazi ni kutafuta hela. ‎Hela yenyewe haikai. ‎Kila siku ni mipango, lakini hakuna kinachotoka. ‎ ‎Na tatizo kubwa ni hili: ‎Hawajui wanachokosa ni maarifa. ‎ ‎Unasikia mtu anasema: ‎"Hela ipo, mimi sina tu connection." ‎Au ‎"Sisi huku hatujapangiwa kuwa matajiri." ‎Aisee, hiyo ni uongo. ‎ ‎ ‎Kama hujui kutengeneza hela. ‎Na hujui kuitunza. ‎Halafu bado unaidai dunia ikutendee haki? ‎ ‎Kuna mtu mmoja alisema: ‎ ‎"Ukiwa maskini na bado hujifunzi, unajitakia." ‎ ‎Inaumiza lakini ni ukweli. ‎Maisha hayaoni huruma. ‎Ni ya wale wanaojua. ‎ ‎Wanaojifunza. ‎Wanaojichukua serious. ‎ ‎ ‎Sasa wengine wanasoma vitabu vingi, ‎Lakini maisha yao ni y...