Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Umekwama

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎🔥 Story: Nilipochoka Kuishi Maisha Duni...

Safari Ya Kujiokoa Kwa Vitabu ‎ ‎Nakumbuka Miaka 9 iliyopita nilikuwa mtu wa "tutasonga tu." ‎Nilikuwa na maisha ya kawaida, kazi ya kawaida, ndoto za kawaida na hata mawazo ya kawaida. ‎ ‎Lakini moyoni… ‎Nilihisi kuna kitu nakikosa. ‎Nilikuwa hai, lakini si mzima. ‎Nilicheka, lakini ni kwa Kujilazimisha. ‎Niliamka kila siku, lakini bila msisimko. ‎ ‎Ilikuwa kama maisha yananipita tu na mimi nikiangalia kama mgeni. ‎ ‎ ‎Siku moja, nilikutana na rafiki mmoja wa zamani alikuwa tofauti. ‎Anang'ara. Anaongea kwa uthabiti. Ana maono. ‎ ‎Nikamwambia: ‎“Bro, umebadilika sana. Ulifanya nini?” ‎ ‎Akaniambia kwa upole, ‎“Niliamua kuanza kusoma vitabu sahihi. Ndipo maisha yangu yakaanza kubadilika polepole.” ‎ ‎Nikacheka kwa kejeli: ‎“Vitabu tu?” ‎ ‎Akaniambia, ‎“Ndiyo. Lakini si vitabu vyovyote. Vitabu vya kujijenga. Vitabu vya kuamka tena. Vitabu vya kujikomboa.” ‎ ‎Nilirudi nyumbani nikiwa na changamoto kichwani. ‎Mimi? Kusoma vitabu? Mimi si mtu wa vitabu. ‎Niliona kama hiyo ni ...