Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Robert Kiyosaki

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

Rich Dad vs Poor Dad: Je, Baba Maskini Anaweza Kukufundisha Siri za Utajiri? ‎

Picha
  ‎ ‎Rafiki Yangu.... ‎ ‎Nilivyokuwa mdogo, nilijua pesa huja kwa bidii. ‎Lazima uamke mapema, ufanye kazi kwa juhudi, utii maagizo ya bosi wako, na usikose kazini hata siku moja. ‎ ‎Niliona wazazi wangu wakitoka alfajiri, wakirudi jioni wakiwa wamechoka, lakini wakiwa maskini vilevile. ‎Nikajua labda maisha ndivyo yalivyo. ‎Mpaka nilipokutana na Rich Dad Poor Dad. ‎ ‎Ndiyo siku maisha yangu yalibadilika. ‎ ‎Katika makala hii, nitakuonyesha: ‎ ‎Jinsi kitabu cha Rich Dad Poor Dad kinavyochambua siri za pesa. ‎ ‎Ni kwa nini watu wengi wanapambana maisha yao yote lakini hawajawahi kujua *kanuni ya utajiri.* ‎ ‎Na kwa nini kusoma kitabu hiki ni hatua ya kwanza kuelekea uhuru wa kifedha. ‎ ‎Fikiria maisha bila presha ya bili kila mwisho wa mwezi. ‎Fikiria kuwa na uhuru wa kuchagua unachotaka kufanya si kwa sababu ya mshahara, bali kwa sababu unapenda. ‎ ‎Kuwa na biashara zako, uwekezaji unaoleta pesa hata ukiwa umelala. ‎Kuwa na muda na familia yako, kwenda likizo unapotaka, si unapopew...