Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Jinsi ya kupanga ratiba ya kusoma bila kulazimishwa | Mafanikio bila stress | Njia rahisi za kuongeza maarifa kila siku

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Mbona Unataka Kunilazimisha KUSOMA? Hii Ndio Siri Ya Kusoma Bila Kujiumiza!

  ‎Kakaa/Dadaa Yangu... ‎ ‎Kuna Watu Hupenda Kusoma Sana. ‎Wakiamka wanasoma. ‎Wakikula wanasoma. ‎Wakipanda gari wanasoma. ‎ ‎Lakini wewe? ‎Ukisikia neno “soma” unaona stress inakuja kama mawingu meusi. ‎ ‎Lakini sio kosa lako. ‎Uliwahi kulazimishwa kusoma. ‎Ulikaa darasani ukiangalia saa isogee. ‎Ukasoma ili ufaulu, si kwa sababu unataka. ‎ ‎Unajua Tatizo Liko Wapi? ‎Watu wanakudanganya eti: ‎*Tengeneza ratiba ya kusoma.* ‎ ‎Hawakuambii namna ya kuitengeneza ambayo haiwezi kukutesa. ‎Wewe si robot. ‎ ‎Wewe ni binadamu mwenye moods, pressure, akili na miguno. ‎ ‎Hebu Acha Hizi Ratiba Zenye Vifungo Kama Magereza. ‎ ‎Soma saa mbili hadi saa nne kila siku? ‎Saa tano asubuhi uanze na kitabu kizito? ‎Hapana. ‎Sio kila mtu anaweza hivyo. ‎ ‎Sasa Hebu Tujifunze Tofauti. ‎Kwanza, angalia maisha yako. ‎Wewe huamka saa ngapi? ‎ ‎Unakaa kwenye foleni? ‎Una muda wa kuscroll TikTok? ‎ ‎Hapo ndo panaitwa nafasi. ‎Usibadili maisha kwa ajili ya kusoma. ‎Ba...