Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya mbinu za ushindani wa kibiashara

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

‎ ‎Jinsi Ya Kuwashinda Washindani Bila Kuwataja Bila Vita, Bila Kelele.

 ‎*Wanazidi Kujitangaza, Wewe Watangulie Kimya Kimya* ‎ ‎Kakaa/Dadaa Yangu.... ‎ ‎ ‎Unajua shida kubwa ya watu wengi? ‎Ni kufikiria ushindani ni vita. ‎Kila mtu anataka kupiga kelele, kutaja majina, kushusha wengine ili aonekane juu. ‎ ‎Lakini ukweli ni huu... ‎Watu hawapendi kelele. ‎Wanapenda thamani. Wanapenda kuaminika. ‎Na mtaa hausahau ukitoa kitu cha maana, kimya kimya. ‎ ‎Unataka ushinde sokoni? ‎Usipige kelele. ‎Toa tofauti. ‎ ‎ ‎Lakini sasa ona... ‎Wao kila siku wanapost. ‎Wanapiga picha na wateja. ‎Wanapiga video za “success.” ‎Wanasema wao ndio namba moja. ‎ ‎Na wewe unaanza kuwaza: ‎"Nikikaa kimya, nani atanijua?" ‎"Wateja watawafuata wao, si mimi?" ‎ ‎Mbaya zaidi, wengine wanaanza kukudharau. ‎Wanakuuliza, “We bado upo?” ‎Inaumaaa… ‎ ‎ ‎Sasa sikiliza kaka/dada... ‎Kelele hazijengi heshima. ‎Kelele hazijengi chapa. ‎Na kelele hazileti pesa ya kweli. ‎ ‎Ukweli ni huu: ‎Mteja hataki kujua nani mkubwa zaidi. ‎Anataka kujua ni nani atamsaidia haraka na kwa ...