Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Uandishi wa Mauzo

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

Copywriting Ni Silaha Ya Siri Ya Wafanyabiashara Matajiri Wewe Unaijua?

Rafiki Yangu, ‎ ‎Umeshawahi kujiuliza kwanini bidhaa ya mtu mwingine inanunuliwa sana, ilhali yako haivutii hata mbu? ‎ ‎Wateja wanapita tu. Wanakudharau. ‎ ‎Lakini yule jamaa wa duka la pembeni, kila siku anaweka “sold out” kwenye bango. ‎ ‎Unadhani ni bahati? ‎Hapana ndugu yangu! ‎Anaijua sanaa moja ya kichawi… Copywriting! ‎ ‎Leo nitakuonyesha: ‎ ‎Copywriting ni nini, inavyofanya kazi kimyakimya kwenye akili za watu, na kwanini wewe kama mfanyabiashara, unahitaji kuimasta kabla biashara yako haijafa bila msiba. ‎ ‎3. PICTURE — (Fumba Macho, Tazama Maisha Yako Baada Ya Ujuzi Huu) ‎ ‎Hebu tafakari... ‎Unapost tu chapisho moja WhatsApp au Instagram… ‎Dakika tano tu, simu yako inaanza kulia. ‎Mpaka unachoka kupokea order. ‎Wateja wanakuomba kuwahudumia, siyo wewe kuwabembeleza! ‎ ‎Hii si hadithi ya kufikirika. Ni hali halisi ya wale waliobobea kwenye Copywriting. ‎ ‎Mwaka 2022, kuna kijana mmoja aliandika maneno 12 tu kwenye status ya WhatsApp… ‎Aliuza vitabu 267 ndani ya siku 1. ‎Hakuw...

‎Jinsi Ya Kugusa Hisia Za Msomaji Kwa Sentensi Ya Kwanza....

Picha
  Kakaa/Dadaa Yangu.... ‎ ‎Kuna waandishi kibao mitandaoni. ‎ ‎Wanaandika vizuri. ‎ ‎Lakini makala zao hazisomwi. ‎ ‎Unajua kwanini? ‎ ‎Sentensi ya kwanza haina mvuto! ‎ ‎Haimgusi msomaji popote. ‎ ‎Yaani ni kama unamwambia, "Usisome hii makala." ‎ ‎Hebu fikiria... ‎ ‎Umechukua muda kuandika. ‎ ‎Umetafakari kichwa cha habari. ‎ ‎Umetafuta picha kali. ‎ ‎Lakini msomaji anaishia tu hapo mwanzo. ‎ ‎Hajui kilicho ndani. ‎ ‎Hasogei kabisa. ‎ ‎Unabaki unaumia kimoyomoyo. ‎ ‎“Mbona hawasomi makala zangu?” ‎ ‎Ni kama kupika pilau halafu mtu anakataa hata kuonja. ‎ ‎Wengi hufikiria kuwa sentensi ya kwanza inapaswa kuwa ya kitaalamu sana. ‎ ‎Au iwe na maneno ya Kiswahili kigumu. ‎ ‎Au iwe ndefu kama maelezo ya mtihani wa Form Four. ‎ ‎HAPANA! ‎ ‎Sentensi ya kwanza inapaswa kuwa na kitu kimoja tu HISIA. ‎ ‎Ipasue moyo. ‎ ‎Iguse akili. ‎ ‎Ichokoze curiosity. ‎ ‎Ikamate macho. ‎ ‎Na iseme, “Usiende popote.” ‎ ‎Ukitaka kuandika sentensi ya kwanza inayogusa hisia: ‎ ‎Gusa maumivu. ‎ ‎Gusa n...

‎Niliwahi Kukimbizana na Wateja Kama Mwizi... Mpaka Copywriting Ilipoingia Maishani.

Picha
  ‎ Kakaa/Dadaa.... ‎ ‎Miaka michache iliyopita... ‎ ‎Nilikuwa ni yule jamaa anayekimbizana na wateja hadi kwenye inbox zao. ‎ ‎Natumia muda, nguvu, na data halafu wananipa “Nipo bize bro, nitakujulisha.” ‎ ‎Maumivu yake si mchezo. ‎ ‎Nilikuwa na bidhaa nzuri sana, lakini wateja walikuwa wagumu kama kokoto. ‎ ‎Nilijikuta najiuliza: ‎ ‎*Kwani lazima kuuza mpaka unatetemeka?* ‎ ‎*Kwanini wao wasikukimbilie kama wanavyokimbilia ofa?* ‎ ‎Niliona watu wengine wanaingiza mkwanja bila hata kuwa na bidhaa bora kuliko yangu. ‎ ‎Nikaanza kuhisi labda mimi ndo tatizo. ‎ ‎Lakini kumbe... ni lugha niliyokuwa natumia. ‎ ‎Wengi tunafikiri kuwa kupata wateja ni kuwa na bei ya chini au kutoa ofa. ‎ ‎Lakini ukweli ni huu: ‎ ‎Watu hawanunui bidhaa... Wananunua hisia. ‎ ‎Na hisia zinakuja kwa kutumia lugha ya kuwagusa. ‎ ‎Hapo ndipo nilipogundua nguvu ya copywriting uandishi wa matangazo yanayobeba roho. ‎ ‎Nikajifunza copywriting. ‎ ‎Nikaanza kuandika post fupi fup...