Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Uandishi wa Mauzo

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

Copywriting Ni Silaha Ya Siri Ya Wafanyabiashara Matajiri Wewe Unaijua?

Rafiki Yangu, ‎ ‎Umeshawahi kujiuliza kwanini bidhaa ya mtu mwingine inanunuliwa sana, ilhali yako haivutii hata mbu? ‎ ‎Wateja wanapita tu. Wanakudharau. ‎ ‎Lakini yule jamaa wa duka la pembeni, kila siku anaweka “sold out” kwenye bango. ‎ ‎Unadhani ni bahati? ‎Hapana ndugu yangu! ‎Anaijua sanaa moja ya kichawi… Copywriting! ‎ ‎Leo nitakuonyesha: ‎ ‎Copywriting ni nini, inavyofanya kazi kimyakimya kwenye akili za watu, na kwanini wewe kama mfanyabiashara, unahitaji kuimasta kabla biashara yako haijafa bila msiba. ‎ ‎3. PICTURE — (Fumba Macho, Tazama Maisha Yako Baada Ya Ujuzi Huu) ‎ ‎Hebu tafakari... ‎Unapost tu chapisho moja WhatsApp au Instagram… ‎Dakika tano tu, simu yako inaanza kulia. ‎Mpaka unachoka kupokea order. ‎Wateja wanakuomba kuwahudumia, siyo wewe kuwabembeleza! ‎ ‎Hii si hadithi ya kufikirika. Ni hali halisi ya wale waliobobea kwenye Copywriting. ‎ ‎Mwaka 2022, kuna kijana mmoja aliandika maneno 12 tu kwenye status ya WhatsApp… ‎Aliuza vitabu 267 ndani ya siku 1. ‎Hakuw...

‎Jinsi Ya Kugusa Hisia Za Msomaji Kwa Sentensi Ya Kwanza....

Picha
  Kakaa/Dadaa Yangu.... ‎ ‎Kuna waandishi kibao mitandaoni. ‎ ‎Wanaandika vizuri. ‎ ‎Lakini makala zao hazisomwi. ‎ ‎Unajua kwanini? ‎ ‎Sentensi ya kwanza haina mvuto! ‎ ‎Haimgusi msomaji popote. ‎ ‎Yaani ni kama unamwambia, "Usisome hii makala." ‎ ‎Hebu fikiria... ‎ ‎Umechukua muda kuandika. ‎ ‎Umetafakari kichwa cha habari. ‎ ‎Umetafuta picha kali. ‎ ‎Lakini msomaji anaishia tu hapo mwanzo. ‎ ‎Hajui kilicho ndani. ‎ ‎Hasogei kabisa. ‎ ‎Unabaki unaumia kimoyomoyo. ‎ ‎“Mbona hawasomi makala zangu?” ‎ ‎Ni kama kupika pilau halafu mtu anakataa hata kuonja. ‎ ‎Wengi hufikiria kuwa sentensi ya kwanza inapaswa kuwa ya kitaalamu sana. ‎ ‎Au iwe na maneno ya Kiswahili kigumu. ‎ ‎Au iwe ndefu kama maelezo ya mtihani wa Form Four. ‎ ‎HAPANA! ‎ ‎Sentensi ya kwanza inapaswa kuwa na kitu kimoja tu HISIA. ‎ ‎Ipasue moyo. ‎ ‎Iguse akili. ‎ ‎Ichokoze curiosity. ‎ ‎Ikamate macho. ‎ ‎Na iseme, “Usiende popote.” ‎ ‎Ukitaka kuandika sentensi ya kwanza inayogusa hisia: ‎ ‎Gusa maumivu. ‎ ‎Gusa n...

‎Niliwahi Kukimbizana na Wateja Kama Mwizi... Mpaka Copywriting Ilipoingia Maishani.

Picha
  ‎ Kakaa/Dadaa.... ‎ ‎Miaka michache iliyopita... ‎ ‎Nilikuwa ni yule jamaa anayekimbizana na wateja hadi kwenye inbox zao. ‎ ‎Natumia muda, nguvu, na data halafu wananipa “Nipo bize bro, nitakujulisha.” ‎ ‎Maumivu yake si mchezo. ‎ ‎Nilikuwa na bidhaa nzuri sana, lakini wateja walikuwa wagumu kama kokoto. ‎ ‎Nilijikuta najiuliza: ‎ ‎*Kwani lazima kuuza mpaka unatetemeka?* ‎ ‎*Kwanini wao wasikukimbilie kama wanavyokimbilia ofa?* ‎ ‎Niliona watu wengine wanaingiza mkwanja bila hata kuwa na bidhaa bora kuliko yangu. ‎ ‎Nikaanza kuhisi labda mimi ndo tatizo. ‎ ‎Lakini kumbe... ni lugha niliyokuwa natumia. ‎ ‎Wengi tunafikiri kuwa kupata wateja ni kuwa na bei ya chini au kutoa ofa. ‎ ‎Lakini ukweli ni huu: ‎ ‎Watu hawanunui bidhaa... Wananunua hisia. ‎ ‎Na hisia zinakuja kwa kutumia lugha ya kuwagusa. ‎ ‎Hapo ndipo nilipogundua nguvu ya copywriting uandishi wa matangazo yanayobeba roho. ‎ ‎Nikajifunza copywriting. ‎ ‎Nikaanza kuandika post fupi fup...