Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Siri Za Matajiri: Jinsi Kusoma Vitabu Kama Think and Grow Rich Kunavyokujengea Utajiri na Mafanikio Haraka

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Hivi Ndivyo Matajiri Wanavyokula Vitabu.... ‎

‎Siri Moja Inayowafanya Matajiri Kufanikisha Ndoto Zao Haraka Na Kwa Urahisi.... ‎ ‎Rafiki Yangu, ‎ ‎Je, unajua kuwa wengi wanaotaka kuwa matajiri wanashindwa kwa sababu hawajui siri moja rahisi ambayo matajiri wakuu wote wanaizingatia? ‎ ‎Je, unajua siri hiyo ipo kwenye vitabu, na kila tajiri mkubwa anaitumia kila siku? ‎ ‎Changamoto kubwa kwa wengi ni kutokuwa na mtazamo wa mafanikio unaoendana na yale waliyosoma au kujifunza. ‎ ‎Wengi hujifunza mitazamo mibaya kuhusu pesa, mafanikio, na hata mafanikio na maisha kwa ujumla. ‎ ‎Wanadhani kuwa na utajiri ni bahati tu, au ya wale walio na bahati kwa hali ya ajabu. ‎ ‎Wanajikuta wakifanya kazi ngumu bila mkakati, wanapoteza muda na pesa katika njia zisizo na tija. ‎ ‎Tatizo ni kwamba hawajui kuwa kuna siri moja kuu ya mafanikio iliyojificha ndani ya vitabu vya maarifa, na hiyo ni kusoma kwa mwelekeo sahihi na kutumia maarifa hayo kuunda mtazamo wa utajiri. ‎ ‎Kumekuwepo na dada mmoja aitwaye Amina kutoka Kariakoo, Dar es Salaam. ‎ ‎Amina...