Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Hadithi ya shujaa halisi

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Kijana Aliyekataa Kuishi Kawaida Safari Ya Kivuli Mpaka Kuangaza Dunia...

Hapo Mwanzoni mwa mwaka 2009. ‎ ‎Kulikuwa na kijana mmoja wa kawaida aliyeishi katika kijiji cha mbali, ‎ ‎ Hakujulikana, na hakuwa na chochote cha kipekee, na kila mtu alimwona wa kawaida sana. ‎ ‎Lakini moyoni mwake, kulikuwepo na ndoto kubwa: kuwahi jukwaa la dunia na kuacha alama. ‎ ‎Siku moja, aliona tangazo dogo la kozi ya maarifa mtandaoni.  ‎ ‎Alihisi mwito ule wa sauti ya ndani iliyomwambia, “Hii ni nafasi yako.” ‎ ‎Aliamua kujiunga, licha ya upinzani wa familia na marafiki waliomcheka: ‎ ‎Nakumuuliza mara kwa mara, ‎ ‎*Utasoma vitabu? Utalisha familia na karatasi?* ‎ ‎Safari yake ilianza  usiku mwingi bila usingizi, video bila bundles, vitabu vya PDF alivyovichapa kwa hela ya chakula. ‎ ‎Alijifunza kuhusu fedha, biashara, saikolojia ya mafanikio… ‎ ‎Alipojaribu mara ya kwanza kuanzisha biashara ilifeli. ‎ ‎Mara ya pili – wateja walimkataa. ‎Mara ya tatu – watu wakaanza kumuuliza, ‎ ‎*Unawezaje kuelewa hivi vitu kwa undani hivi?* ‎ ‎Miaka miwili baadaye, kijiji kizima...