Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya mauzo bila kusales

‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi Wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu? ...

 ‎ Hii hapa safari ya kugusa moyo wako. ‎ ‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu?.... ‎ ‎Nilikuwa nimehitimu shule. ‎ ‎Nikiwa na cheti mkononi na ndoto kubwa kichwani. ‎ ‎Lakini maisha yakaniambia: “Karibu kwenye darasa halisi.” ‎ ‎Sikupata kazi niliyoitegemea. ‎ ‎Nikawa najiuliza: "Kwani elimu yangu haikutosha?" ‎ ‎Nilikuwa nimefundishwa mambo ya darasani lakini si maisha. ‎ ‎Siku moja nikakutana na nukuu: ‎ ‎“Don’t let school interfere with your education.” — Mark Twain ‎ ‎Nikaanza kujiuliza: ‎ ‎"Je, kuna elimu nyingine zaidi ya vyeti? Elimu ya maisha?" ‎ ‎Nikapuuzia. ‎ ‎Nikajua vitabu vya darasani tu ndivyo vya maana. ‎ ‎Niliona vitabu vingine kama vya watu walioshindwa. ‎ ‎Mbona havifundishwi shuleni? ‎ ‎Mbona havijasheheni nadharia na mitihani? ‎ ‎Mtu mmoja akanishika begani na kuniambia: ‎ ‎"Unapokoma kuwa mwanafunzi, ndipo unapokoma kukua." ‎ ‎Akanipa kitabu cha “Rich Dad Poor Dad.” ‎ ‎Akaniongeza na kingine:  ‎ ‎“The 7 Habits of ...

Copywriting; ‎Jinsi Nilivyowavuta Wateja Wa Kulipia Bila Kuomba Kazi Siri Inayobadilisha Game

‎Kuna wakati nilichoka. ‎ ‎Kuchoka kuomba kazi kila mahali. ‎Kila inbox nikiandika “Naweza kusaidia na hii…” ‎Kila jibu likiwa “Tutakujulisha.” ‎Na mengine hata hayajibu. ‎ ‎Nikasema basi! ‎Na hapo safari yangu ikaanza. ‎ ‎Siku moja nikaandika post moja. ‎Ya ukweli. ‎Iliyojaa maumivu. ‎Ilikuwa story yangu. ‎Sio kusales. ‎Sio kujiuza. ‎Ilikuwa ukweli – "Nimechoka Kuomba Kazi." ‎ ‎Watu wakacomment. ‎Wengine wakashare. ‎Wateja wakaanza kuni-DM. ‎ ‎Nikagundua kitu: ‎Watu hawavutiwi na cheti, ‎Wanavutwa na hisia zako. ‎Watu hawakumbuki huduma yako, ‎Wanabeba story yako. ‎ ‎Nikaanza kuchora hadithi. ‎Kila post – story. ‎Kila content – emotions. ‎Kila status – ladha. ‎ ‎Sio kuomba kazi, ‎Ni kuwaonesha maisha yako. ‎ ‎Nilikuwa na shaka. ‎"Nikiandika sana, wataniona nalilia kiki?" ‎Lakini guess what? ‎Wale waliodhani hivyo, hawakunilipa hata elfu moja. ‎ ‎Lakini yule mmoja… ‎Aliyenisoma kimya kimya kwa wiki tatu, ‎Akanitumia email moja: ‎“Hi, I’ve been following your posts. ...