Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Jifunze Sanaa Ya Kuvutia Wateja Bila Kuomba Wala Kubembeleza | Ndoano ya Kisasa Kitabu

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎😳 Hii Ndio Sanaa Ya Kuvutia Wateja Bila Kuomba, Bila Kubembeleza, Bila Kulazimisha! ‎ ‎Na Wala Bila Kuonekana Kero…

‎Kaka, Dada… ‎Unahangaika kuwashawishi wateja? ‎Unaandika post nyingi sana, lakini kimya? ‎Unajitahidi kuji-brand, lakini watu bado hawakutoi? ‎ ‎Pole. ‎Lakini usiendelee kupoteza muda na nguvu kwa njia zinazokutapeli muda. ‎Siku hizi, wateja hawataki kuuziwa kwa nguvu. ‎Wanataka wahamasike wenyewe. ‎Waone kitu kimewavuta. ‎Kitu cha kipekee. ‎ ‎Sasa hapa ndipo wengi wanakosea. ‎Wanaandika kama wanatangaza msiba. ‎Au kama wanaomba msaada. ‎ ‎Wanakuwa wa kero. ‎Wanasumbua. ‎Wanafukuza wateja bila kujua. ‎ ‎😫 Umeona Biashara Inayochosha? ‎ ‎Kila siku unapost, unashare status, unatuma DM... ‎Halafu mtu anakuzimia blue tick. ‎Ama anakujibu "sawa nitakujulisha", kisha anapotea. ‎ ‎Yaani wewe unaomba sana, wateja ndio maana hawakujibu. ‎Hii ni ishara ya kupoteza mamlaka. ‎ ‎Wateja hawajisikii salama unapowasumbua sana. ‎Wanahisi kuna mtego. ‎Au unauza kitu kisichokuwa na thamani halisi. ‎ ‎🤨 Tatizo Sio Bidhaa Yako… Ni Maneno Yako! ‎ ‎Unauza kitu kizuri. ‎Lakini lugha unayotumia, i...