Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Jinsi ya Kujenga Maisha na Kuanzisha Biashara Bila Mtaji Kupitia Vitabu

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

Picha
  ‎Mpendwa Rafiki, ‎ ‎Tatizo ni moja tu: Unataka kufanikiwa. ‎ ‎ Unataka kujenga biashara.  ‎ ‎Unataka kuvutia wateja bila kuwa kero. ‎ ‎ Unataka maisha bora, lakini hujui uanzie wapi. ‎ ‎Unasikia watu wanatoka mbali kimaisha kwa kutumia maarifa, lakini wewe kila ukijaribu hakuna kinachotiki. ‎ ‎Na najua kabisa… si kwamba huna akili. ‎ ‎ Si kwamba huna bidii. La hasha! ‎ ‎Tatizo ni moja: haujapewa ramani. ‎ ‎ Haujapewa mfumo.  ‎ ‎Haujajifunza maarifa sahihi. ‎ ‎Kuna jambo linakuumiza kimya kimya… ‎ ‎Watu unaowaona wanaendelea wengi wao sio wa ajabu sana. ‎ ‎Wana siri moja tu: maarifa ya ndani. ‎ ‎Maarifa ya vitabuni.  ‎ ‎Maarifa ambayo hayafundishwi mashuleni. ‎ ‎Wanaelewa “mbinu za kuuza”, wanaijua “copywriting”, wanaelewa “psychology ya mteja”, ‎ ‎...na wanajua jinsi ya kuanzisha biashara bila mtaji mkubwa. ‎ ‎Wewe pia unaweza kujifunza. ‎ ‎Wewe pia unaweza kugeuza akili yako kuwa hela. ‎ ‎Lakini lazima ukubali ukweli mmoja: ‎ mafanikio hayaji kwa kubahatisha. ‎ ‎ ...