Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya nidhamu na kujiamini—mambo ambayo hayafundishwi kabisa shuleni

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎🔥 Mambo 7 Unayojifunza Kwenye Vitabu Ambavyo Hukufundishwa SHULENI 🔥...

  ‎Alizaliwa na Kuishi Maisha ya Kawaida Sana… ‎Anaitwa Jumanne. Mtoto wa pili kwenye familia ya watoto saba. Baba mchomeaji vyuma, mama muuza maandazi.  ‎ ‎Aliishi maisha ya kujisitiri, hakuwa na nguo za bei, wala viatu vya kuvutia. ‎ ‎ Alipomaliza kidato cha nne, hakupata nafasi ya kuendelea na masomo si kwa sababu hakufaulu, bali kwa sababu hakukuwa na ada. ‎ ‎Akiwa nyumbani, kila siku ilimchoma moyo kuona wenzake wakisonga mbele. Hakukuwa na ajira, wala mtu wa kumshika mkono.  ‎ ‎Ndoto zake zilianza kuzama polepole. Alianza kuamini pengine maisha haya ni ya waliozaliwa na bahati. ‎ ‎Lakini Mambo Yalianza Kubadilika Siku Aliyopewa Kitabu Kimoja. ‎Siku moja, jirani yake alimpa kitabu kiitwacho NGUVU YA VITABU. ‎ ‎“Jaribu kusoma hiki Kitabu,” alisema yule jirani, “Hata kama huendi shule, akili yako bado inaweza kuelimika.” ‎ ‎Kwa mashaka na shingo upande, Jumanne alianza kusoma. Kurasa za kwanza zilimkumbusha thamani ya muda, nguvu ya kujifunza, na umuhimu wa nidhamu bin...