Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya maneno ya mauzo

‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi Wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu? ...

 ‎ Hii hapa safari ya kugusa moyo wako. ‎ ‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu?.... ‎ ‎Nilikuwa nimehitimu shule. ‎ ‎Nikiwa na cheti mkononi na ndoto kubwa kichwani. ‎ ‎Lakini maisha yakaniambia: “Karibu kwenye darasa halisi.” ‎ ‎Sikupata kazi niliyoitegemea. ‎ ‎Nikawa najiuliza: "Kwani elimu yangu haikutosha?" ‎ ‎Nilikuwa nimefundishwa mambo ya darasani lakini si maisha. ‎ ‎Siku moja nikakutana na nukuu: ‎ ‎“Don’t let school interfere with your education.” — Mark Twain ‎ ‎Nikaanza kujiuliza: ‎ ‎"Je, kuna elimu nyingine zaidi ya vyeti? Elimu ya maisha?" ‎ ‎Nikapuuzia. ‎ ‎Nikajua vitabu vya darasani tu ndivyo vya maana. ‎ ‎Niliona vitabu vingine kama vya watu walioshindwa. ‎ ‎Mbona havifundishwi shuleni? ‎ ‎Mbona havijasheheni nadharia na mitihani? ‎ ‎Mtu mmoja akanishika begani na kuniambia: ‎ ‎"Unapokoma kuwa mwanafunzi, ndipo unapokoma kukua." ‎ ‎Akanipa kitabu cha “Rich Dad Poor Dad.” ‎ ‎Akaniongeza na kingine:  ‎ ‎“The 7 Habits of ...

‎ ‎🧨 Maneno Ya Kuuza vs Maneno Ya Kawaida Jifunze LUGHA YA MAUZO.

 ‎ Rafiki Yangu, ‎ ‎🛑 Acha tuanze na swali moja rahisi: ‎ ‎Ungependa mtu akusikie... ‎au akusikie na achukue hatua? ‎ ‎Kuna tofauti kubwa sana kati ya kuongea tu, na kuongea hadi mtu avue viatu akimbie kununua kitu chako. ‎ ‎Karibu kwenye darasa la mtaa hapa unajifunza maneno ya kuuza, si maneno ya kupoteza muda. ‎ ‎🔥 1. Watu Wengi Wanakosea Hapa Hawajui Kuzungumza  LUGHA YA MTEJA ‎ ‎Wanauza kama wanaelezea. ‎Wanashawishi kama wanahubiri. ‎Wanatumia maneno ya kawaida kwenye kazi ya kuuza. ‎ ‎Mfano: ‎ ‎“Hii ni bidhaa bora sana.” ‎ ‎“Tuna huduma nzuri.” ‎ ‎“Karibu tukuhudumie.” ‎ ‎ ‎Yaani mtu anasikia, lakini hashtuki. Hakuna msisimko. Hakuna kichwa kumruka. ‎Matokeo yake? Wanapitwa tu na wanaojua kuchagua maneno sahihi. ‎ ‎ ‎💣 2. INAKERA! Unajua Kitu Chako Ni Kizuri, Lakini Watu HAWANUNUI! ‎ ‎Unajituma. ‎Unajua bidhaa yako ni ya maana. ‎Lakini ukiweka tangazo, ni kama umeandika barua ya maombi. ‎ ‎Ni kama vile unawaomba wanunue, badala ya kuwafanya watamani hadi wasilale. ‎ ...