Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya kuuza kwa maandishi

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Sanaa Ya Kuandika Kichwa Cha Habari Cha Kutosha Kuusimamisha MOYO Wa MTEJA

‎“Ukishika hii, unaweza kuuza barafu jangwa la Sahara” ‎ ‎Kakaa/Dadaa Yangu.... ‎Unajua shida kubwa ya waandishi wengi wa matangazo? ‎Wanahangaika kuandika miandiko mizuri sana… ‎ ‎Lakini "kichwa cha habari chao ni cha kawaida sana". ‎ ‎Halafu wanashangaa kwa nini hakuna anaye-click. ‎ ‎Wanasema watu hawasomi. ‎Hapana. ‎ ‎Watu wanasoma ‎Wanasoma vichwa vya habari tu. ‎ ‎Kama kichwa hakishiki moyo… ‎Kama hakimshtui mteja… ‎Kama hakimfanyi asimame hata kama alikuwa anaenda chooni… ‎ ‎Hutauza kitu. ‎ ‎Unajua inakera kiasi gani kuandika post kali, halafu hakuna mtu ana-comment? ‎ ‎Halafu mtu mwingine anaandika tu: ‎"Siku zote pesa ziko mitaani." ‎Anapiga emoji 3 za moto. ‎Anapata likes 400. ‎ ‎Inakuchoma roho. ‎Unajisikia umechemka. ‎ ‎Unajiuliza, “Kwani shida iko wapi?” ‎ ‎Shida iko kwenye kichwa cha habari. ‎Hicho ndo mtego. ‎ ‎Na mtego ukikosa chambo, samaki hawezi kung’ang’ania. ‎ ‎ ‎Sasa sikia kaka/dada... ‎Kichwa cha habari siyo tu sentensi ya mwanzo. ‎ ‎Ni mlango...