Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya kutopenda kusoma mbinu za kusoma vitabu rahisi stori za maisha elimu ya maisha kujisomea Ramadhan Amir

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Kwanini Watu Wengi Hawapendi Kusoma Na Suluhisho Rahisi La Kukusaidia.

‎Kakaa/Dadaa Yangu... ‎ ‎Kuna tatizo moja kubwa sana… ‎ ‎Watu wengi hawapendi kabisa kusoma vitabu. ‎ ‎Wanaona vitabu ni mzigo. ‎ ‎Ni kama kuambiwa uanze kufua na mikono wakati kuna mashine ya kufulia. ‎ ‎Hawana muda. ‎ ‎Hawana hamasa. ‎ ‎Na wengine, hawajui hata wapi pa kuanzia. ‎ ‎Lakini sasa ngoja nikuulize wewe: ‎ ‎Ulishawahi kununua kitabu, ukakisoma kurasa mbili, ukakitelekeza juu ya meza hadi ukakisahau? ‎ ‎Ama ulikuwa na ndoto ya kujifunza mambo fulani, ukasema “acha nitafute kitabu” ‎ ‎Lakini hadi leo unatafuta tu sababu ya kuanza? ‎ ‎Kama ni ndiyo… Haupo Pekee Yako. ‎ ‎ ‎Lakini hiyo tabia… inatuumiza sana. ‎ ‎Unajua kwanini? ‎ ‎Sababu maisha hayaendi kwa kubahatisha. ‎ ‎Tunahitaji maarifa. ‎ ‎Tunahitaji kuelewa pesa. ‎ ‎Mahusiano. ‎Biashara. ‎Uongozi. ‎ ‎Maisha yenyewe. ‎ ‎Lakini kama husomi… ‎ ‎Utaendelea kuuliza maswali yale yale. ‎ ‎Kuteseka kwa mambo ambayo wengine walishayashinda miaka mingi iliyopita kwa kusoma tu. ‎ ‎Na mbaya zaidi… ‎ ‎Ukizoea kutojifunza, akili inazoe...