Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya kutopenda kusoma mbinu za kusoma vitabu rahisi stori za maisha elimu ya maisha kujisomea Ramadhan Amir

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

‎Kwanini Watu Wengi Hawapendi Kusoma Na Suluhisho Rahisi La Kukusaidia.

‎Kakaa/Dadaa Yangu... ‎ ‎Kuna tatizo moja kubwa sana… ‎ ‎Watu wengi hawapendi kabisa kusoma vitabu. ‎ ‎Wanaona vitabu ni mzigo. ‎ ‎Ni kama kuambiwa uanze kufua na mikono wakati kuna mashine ya kufulia. ‎ ‎Hawana muda. ‎ ‎Hawana hamasa. ‎ ‎Na wengine, hawajui hata wapi pa kuanzia. ‎ ‎Lakini sasa ngoja nikuulize wewe: ‎ ‎Ulishawahi kununua kitabu, ukakisoma kurasa mbili, ukakitelekeza juu ya meza hadi ukakisahau? ‎ ‎Ama ulikuwa na ndoto ya kujifunza mambo fulani, ukasema “acha nitafute kitabu” ‎ ‎Lakini hadi leo unatafuta tu sababu ya kuanza? ‎ ‎Kama ni ndiyo… Haupo Pekee Yako. ‎ ‎ ‎Lakini hiyo tabia… inatuumiza sana. ‎ ‎Unajua kwanini? ‎ ‎Sababu maisha hayaendi kwa kubahatisha. ‎ ‎Tunahitaji maarifa. ‎ ‎Tunahitaji kuelewa pesa. ‎ ‎Mahusiano. ‎Biashara. ‎Uongozi. ‎ ‎Maisha yenyewe. ‎ ‎Lakini kama husomi… ‎ ‎Utaendelea kuuliza maswali yale yale. ‎ ‎Kuteseka kwa mambo ambayo wengine walishayashinda miaka mingi iliyopita kwa kusoma tu. ‎ ‎Na mbaya zaidi… ‎ ‎Ukizoea kutojifunza, akili inazoe...