Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya Jinsi ya Kutumia Kitabu Kuanzisha Biashara Bila Hatari Kubwa | Mbinu Bora za Lean Startup kwa Wajasiriamali Chipukizi

Siri Za Hadithi Za Mauzo...

 *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Rafiki Yangu, Wauzaji wengi wanahangaika kuandika matangazo yanayouza. Wanaandika, lakini hakuna anayeona, hakuna anayeuliza, hakuna anaye nunua. Ni maumivu makali kuona mtu mwingine anauza bidhaa kama yako, Lakini wewe unabaki unalalamika *soko ni gumu.* Kitabu *Siri Za Hadithi Za Mauzo* Kinakuonyesha namna ya kuandika hadithi zinazogusa mioyo, zinazoeleza, zinasisimua, na hatimaye zinauza. Utajifunza kuandika maandiko yanayovutia macho, yanayobeba hisia, na yanayobadilisha wasomaji kuwa wanunuzi. Pata nakala yako leo. Kwa kuwasiliana na 0755376891. PS; Anza kuandika hadithi zinazouza badala ya maneno yasiyoleta matokeo.

‎Jinsi ya Kutumia Kitabu Kuanzisha Biashara Yenye Misingi Imara Bila Hatari Kubwa...

 ‎*Jinsi ya Kutumia Kitabu Kuanzisha Biashara Yenye Misingi Imara Bila Hatari Kubwa*... ‎ ‎Rafiki Yangu, ‎ ‎Kila shujaa anaanza na ndoto kubwa… ‎Lakini mara nyingi ndoto hizo hukwama kwa hofu. ‎ ‎Labda na wewe umewahi kujiuliza: ‎ ‎“Nitanzaje biashara yangu?  ‎ ‎Sitapoteza pesa nyingi?  ‎ ‎Wateja watanipokea kweli?” ‎ ‎Kwa wengi, ndoto ya biashara hubaki kichwani kwa sababu ya hofu ya kushindwa, mtaji mdogo, na ukosefu wa mwelekeo. ‎ ‎Ndiyo maana wengi huchelewa kuanza, au huanza vibaya na kufeli mapema. ‎ ‎👉 Lakini safari ya shujaa huanza pale anapogundua njia mpya. ‎ ‎Hapo ndipo Hamisi kutoka Dodoma alipoamua kuwa shujaa wa maisha yake. ‎ ‎Hamisi alikuwa kijana mwenye ndoto ya kuuza bidhaa za asili.  ‎ ‎Alikuwa na shauku kubwa, lakini hana mtaji mkubwa. ‎ ‎Kila mara alipoketi kufikiria biashara yake, hofu ya kupoteza pesa ilimrudisha nyuma. ‎ ‎Mpaka siku moja, aliposoma The Lean Startup cha Eric Ries. ‎ ‎Ndipo akagundua mbinu ya kipekee: Tumia kitabu kama chombo c...