Machapisho

Inaonyesha machapisho yenye lebo ya MafanikioVitabu Matajiri Siri ya Utajiri Elimu ya Fedha Tabia za Matajiri Kusoma Maarifa Kitabu Kimoja Uhamasishaji

‎🔥Siri Za Hadithi Zinazouza Kama Kichaa , Mfumo Wa The Hero’s Journey!🔥 ‎

Kakaa/Dadaa Yangu.... Wewe unajua kwanini hadithi zingine zinaburudisha mpaka unashindwa kutoka kwenye screen? ‎ ‎Unajua kwa nini mtu anakusimulia story mpaka unajikuta unaitikia, *Duh! Alafu ikawaje?* ‎ ‎Basi sikia hii... ‎ ‎Wauzaji wengi wanaandika hadithi ambazo hazigusi hisia. ‎Ni kama kuangalia movie ya kuchosha kwenye slow motion. ‎Wateja hawajali. Wanaskip. Wanapotea. ‎ ‎Lakini... ‎Kuna mfumo mmoja wa KISANII, wakisanii mbaya, ambao ukishaujua, utawakamata watu kama sumaku. ‎ ‎Unaitwa: Hero’s Journey. ‎ ‎Ni mfumo wa hadithi ya shujaa. ‎Yaani mtu wa kawaida, anakutana na changamoto, anapambana, anakata tamaa, anasimama tena, na mwisho anashinda. ‎ ‎Kama Simba kwenye Lion King. ‎Kama Neo kwenye Matrix. ‎Kama wewe kwenye maisha yako. ‎ ‎Sasa tatizo ni hili... ‎Watu wanajaribu kuuza bila kuleta safari ya kihisia. ‎Wanataka kuuza bidhaa kama vile ni maharage sokoni. ‎Wanakosa story. ‎Na bila story,hakuna connection. ‎ ‎Unasema bidhaa yako ni bora? So what? ‎Wateja wanataka kujihisi w...

Kwa Nini Matajiri Wote Husoma Vitabu – Siri Kubwa Unayopaswa Kujua Leo

 ‎Na Wewe Bado Unapiga Chenga Kusoma? Rafiki Yangu Mpendwa, Bado Namkumbuka.... ‎ ‎Aliwahi kuwa maskini. Alilala njaa. Alitembea kwa miguu kwenda shule. Alivaa viatu vilivyopasuka. ‎ ‎Leo? Ana kampuni tano. Ana magari manne. Anajenga shule kijijini kwao. ‎ ‎Unajua alibadilishaje maisha yake? ‎ ‎Alianza kusoma vitabu. ‎ ‎Leo nitakuonyesha siri moja kubwa sana ambayo matajiri hawapendi watu wa kawaida waijue. ‎ ‎Siri hii ni: Vitabu! ‎ ‎Ndiyo. Nitakuambia kwanini matajiri wote hukimbilia vitabu, na kwanini wewe pia unapaswa kuanza kusoma leo hii sio kesho. ‎ ‎Fikiria ukiamka asubuhi na hujishughulishi tena na madeni. ‎ ‎Fikiria unafanya kazi unayoipenda… sio ile ya kukudhalilisha. ‎ ‎Fikiria unaweza kusafiri popote, lini unavyotaka. ‎ ‎Fikiria unasaidia familia yako… unalipa karo… unajenga nyumba. ‎ ‎Vitabu ni daraja la kutoka hapa ulipo hadi kule unakotamani kufika. ‎ ‎📚 Elon Musk alisema, “Nilijifunza kutengeneza roketi kwa kusoma vitabu.” ‎ ‎📚 Bill Gates husoma kitabu kimoja kila...