‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi Wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu? ...

 ‎ Hii hapa safari ya kugusa moyo wako. ‎ ‎Nawezaje Kuwa Mwanafunzi wa Maisha Kupitia Kusoma Vitabu?.... ‎ ‎Nilikuwa nimehitimu shule. ‎ ‎Nikiwa na cheti mkononi na ndoto kubwa kichwani. ‎ ‎Lakini maisha yakaniambia: “Karibu kwenye darasa halisi.” ‎ ‎Sikupata kazi niliyoitegemea. ‎ ‎Nikawa najiuliza: "Kwani elimu yangu haikutosha?" ‎ ‎Nilikuwa nimefundishwa mambo ya darasani lakini si maisha. ‎ ‎Siku moja nikakutana na nukuu: ‎ ‎“Don’t let school interfere with your education.” — Mark Twain ‎ ‎Nikaanza kujiuliza: ‎ ‎"Je, kuna elimu nyingine zaidi ya vyeti? Elimu ya maisha?" ‎ ‎Nikapuuzia. ‎ ‎Nikajua vitabu vya darasani tu ndivyo vya maana. ‎ ‎Niliona vitabu vingine kama vya watu walioshindwa. ‎ ‎Mbona havifundishwi shuleni? ‎ ‎Mbona havijasheheni nadharia na mitihani? ‎ ‎Mtu mmoja akanishika begani na kuniambia: ‎ ‎"Unapokoma kuwa mwanafunzi, ndipo unapokoma kukua." ‎ ‎Akanipa kitabu cha “Rich Dad Poor Dad.” ‎ ‎Akaniongeza na kingine:  ‎ ‎“The 7 Habits of ...

‎Hii Ndiyo Siri Elon Musk Aliyoificha: Vitabu 5 Vilivyompa Akili Ya Mabilioni!

Wengi tunapenda mafanikio ya Elon Musk.

‎Tunasikia Tesla, tunatamani SpaceX, tunatamani kuwa kama yeye.

‎Lakini hatujui alifika vipi hapo.

‎Wengi tunahangaika bila ramani.

‎Tunapoteza muda TikTok, tunazunguka kwenye magroup ya WhatsApp bila mwelekeo.

‎Elon hakujifunza mambo haya darasani.

‎Alijifunza vitabuni.

‎Ndiyo, vitabu.

‎Na si vitabu vya "Jinsi ya Kupata Mpenzi Kwa Siku Moja!"

‎Ni vitabu vya kuchonga akili kuwa mashine ya kutengeneza mabilioni.

‎Unalala na simu mkononi.

‎Unasubiri motivator wa Instagram akuvutie kwa clip ya sekunde 15.

‎Wewe bado unasema “Siku moja nitafanikiwa!”

‎Lakini Elon Musk alikula vitabu.

‎Aliwasoma kina Benjamin Franklin, kina Asimov.

‎Wewe unasoma tu captions za memes.

‎Na unategemea maisha yabadilike?

‎Utaendelea tu kufuta machozi kwenye pillow ya bei rahisi.

‎Watu wengi wanaamini mafanikio ni “Koneksheni” tu.

‎Ama eti ni lazima uzaliwe kwenye familia ya kitajiri.

‎Elon hakuzaliwa hivyo.

‎Alikua bullied, alikua mpweke, alikua mrefu lakini sio popular.

‎Ila kitu kimoja kilichompa nguvu ni:

‎Vitabu.

‎Alisema mwenyewe:

‎"I was raised by books, and then my parents."

‎Kwa hiyo...

‎Excuses zako kwamba huna support hazihold maji mbele ya ukweli huu.

‎Tatizo ni kwamba hauko tayari kusoma.

‎Unataka ubongo wa pesa?

‎Soma vitabu vya akili kubwa.

‎Vitabu vya Elon Musk si vya kuchosha 

‎ vinawasha moto wa ndani.

‎Na hapa nitakutajia baadhi:

‎✅ Structures: Or Why Things Don’t Fall Down – J.E. Gordon

‎✅ Benjamin Franklin: An American Life – Walter Isaacson

‎✅ The Lord of the Rings – J.R.R. Tolkien

‎✅ Foundation Series – Isaac Asimov

‎✅ Zero to One – Peter Thiel

‎Hivi vitabu vinafundisha:

‎• Jinsi ya kufikiri kama mvumbuzi

‎• Jinsi ya kuunda mfumo unaofanya kazi

‎• Jinsi ya kusimama hata bila support

‎• Na jinsi ya kuchukia kuwa mtu wa kawaida

‎Kuna wakati Elon alikuwa analala ofisini.

‎Alikua hana hela ya kupanga.

‎Lakini alikuwa na daftari, kalamu na kitabu mkononi.

‎Kila usiku kabla ya kulala, alisoma hata kurasa chache.

‎Alisema: “Books taught me what’s possible.”

‎Leo hii?

‎Ni Tajiri NAMBA Moja duniani.

‎Kama alitoka huko mpaka hapa.

‎Na chombo chake kilikuwa ni vitabu.

‎Wewe unasubiri nini?

‎Unasema unataka kufanikiwa?

‎Anza na kurasa moja tu kila siku.

‎Jichukulie kitabu kimoja kutoka kwa orodha ya Elon.

‎Ukianza, utaona jinsi akili yako inabadilika.

‎Utaanza kuona opportunities kila kona.

‎Elon hakuwa na miujiza.

‎Alikua na vitabu.

‎Na wewe pia unaweza kuwa na hivyo.

‎👉 Swali ni moja tu: Utasoma lini?

‎Vitabu Hivi Vinapatikana Hapa 👇 

‎Piga Simu Au Tuma Ujumbe "Vitabu"

‎Kwenda 0750376891.

‎Karibu.

‎Rafiki Yako Anayekupenda Na Kukujali Sana,

‎Mkufunzi Ramadhan Amir.

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

‎Jinsi Ya Kutumia Vitabu Kujenga Maisha Na Biashara Bila Mtaji Mkubwa...

‎Hatua 7 Rahisi Za Kuanzisha Ndoto Yako Bila Mtaji Mkubwa- Hata Kama Huna Connection

Vitabu Gani Vilibadilisha Maisha Yangu?